Watakiwa kutumia fursa kituo cha utafiti ufugaji samaki
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka wananchi wa Kijiji cha Rubafu, Wilaya ya Bukoba kutumia fursa ya ujenzi wa kituo cha utafiti cha ufugaji wa samaki na vizimba vya kufugia samaki kuinua uchumi wao.
Akizungumza na wananchi mara baada ya kutembelea na kukagua eneo hilo, amewashukuru wananchi hao kwa kutambua, kuthamini mradi huo na kutoa eneo, ili mradi uweze kujengwa huku akiwataka pindi utakapoanza wachangamkie fursa zitakazokuwepo katika mradi huo.
“Tunamshukuru sana Rais Dk Samia Suluhu Hassan, wakati mipango hii ikiwepo hapa tulikuwa bado hatujapata njia nzuri tunavyoweza kwenda mbele.
“Alipofanya ziara yake nchini Marekani na baadhi ya wafanyabiashara na wakuu wa mashirika kadhaa, moja ya kitu ambacho ziara ile ilizaa matunda yalijitokeza umoja wa makampuni 12, ambayo yamekubali kuja kuwekeza kwenye mradi huu wa Rubafu,” alisema Chalamila.
Alisema kukubali kwa kampuni hizo ndio faida kubwa ya ziara ya Rais iliyozaa matunda kwa wananchi wa Rubafu na wananchi wa Mkoa wa Kagera kwa ujumla.
Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Toba Nguvila alisema anaamini hali ya uchumi wa wananchi itakua endapo watawekeza katika eneo hilo la ufugaji wa samaki kwa vizimba.

“Tunajua kuwa wananchi wengi eneo hili mko karibu na ziwa, lakini sasa tunaenda kuleta kitu kipya cha kuwaletea maendeleo kwa urahisi, kama mwananchi unapaswa kushiriki kwa nafasi ambayo utaona unaweza kufanya usikubali kubaki nyuma, “alisema Nguvilla.
Kwa upande wake Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji, Issaya Tendega alisema mradi huu umekuja kufuatia makubaliano baina ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Wizara ya Uvuvi, Chuo cha Nelson Mandela pamoja na Taasisi ya TACT kuingia makubaliano mwaka 2021.
Alisema Kitakachofanyika ni kujengwa kituo cha umahiri cha utafiti wa ufugaji wa samaki cha uzalishaji wa mbegu bora na vyakula vya samaki, ambacho kitakuwa chini ya chuo cha Nelson Mandela.




This website was… how do you say it? Relevant!! Finally I have found something that helped me. Cheers!
Fastidious answer back in return of this matter with
firm arguments and describing all on the topic of that.
Thanks for the marvelous posting! I definitely enjoyed reading it, you will be a great author.I will ensure that I bookmark your blog and will come back down the road. I want to encourage you continue your great posts, have a nice morning!
Pretty portion of content. I just stumbled upon your weblog and in accession capital to
say that I get in fact loved account your blog posts. Anyway I’ll
be subscribing for your augment and even I success you
access constantly quickly.
Hey there would you mind letting me know which webhost you’re working with? I’ve loaded your blog in 3 completely different browsers and I must say this blog loads a lot quicker then most. Can you suggest a good web hosting provider at a honest price? Thanks, I appreciate it!
Wow, awesome weblog format! How lengthy have you ever been running a blog for? you made running a blog look easy. The total glance of your website is wonderful, as smartly as the content material
Hi there to every body, it’s my first go to see of this website; this blog includes remarkable and
in fact fine data in favor of visitors.
Hey very nice web site!! Guy .. Beautiful .. Amazing .. I’ll bookmark your blog and take the feeds additionally? I’m satisfied to find a lot of helpful information here within the post, we’d like work out extra strategies in this regard, thank you for sharing. . . . . .
Definitely believe that which you stated. Your favorite justification seemed to be on the net the easiest thing to be aware of. I say to you, I definitely get irked while people think about worries that they just don’t know about. You managed to hit the nail upon the top and defined out the whole thing without having side-effects , people could take a signal. Will probably be back to get more. Thanks
you’re really a excellent webmaster. The web site loading velocity is incredible. It sort of feels that you’re doing any unique trick. Moreover, The contents are masterpiece. you have done a great task in this matter!
I think that is one of the so much important information for me. And i’m happy studying your article. But wanna statement on some general issues, The website style is ideal, the articles is in reality nice : D. Excellent process, cheers
Great blog! Do you have any hints for aspiring writers? I’m hoping to start my own site soon but I’m a little lost on everything. Would you suggest starting with a free platform like WordPress or go for a paid option? There are so many options out there that I’m completely confused .. Any ideas? Many thanks!
Hi! I’ve been reading your blog for a while now and finally got the courage to go ahead and give you a shout out from Dallas Tx! Just wanted to mention keep up the excellent work!
Hello there, simply became aware of your weblog via Google, and found that it’s really informative. I am going to watch out for brussels. I will be grateful if you proceed this in future. Many other people will be benefited out of your writing. Cheers!
I am regular reader, how are you everybody? This post posted at this web site is actually good.
Hello there, You have done an excellent job. I will definitely digg it and for my part suggest to my friends. I am confident they’ll be benefited from this site.
Thanks for some other excellent article. Where else may anyone get that kind of info in such a perfect method of writing? I have a presentation next week, and I’m on the look for such information.