Watakiwa kuwekeza kilimo ch vanila

WANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kutambua faida zilizopo katika kilimo cha vanilla na kujikita kuwekeza katika kilimo cha vanilla, kutokana na tija ya kuwaendeleza kiuchumi, kwani  kina faida kubwa na kinastawi vizuri katika mkoa huo.

Hayo yamesemwa leo Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanila International Limited, Simon Mnkondya wakati akikagua mashamba yake ya vanila yaliyopo mkoani humo.

Amesema kilimo cha vanila kina tija kubwa ya kuwakwamua wananchi kiuchumi kama wataamua kuwekeza, kwani hakitumii muda mrefu kulima hadi kuvuna.

“Bado Watanzania wengi hawajafahamu siri hii ya kilimo cha vanila, lakini tunaendelea kutoa elimu wajue utajiri uliojificha katika uwekezaji huu wa vanila, kwani wale waliothubutu wameona faida zake, hivyo naendelea kuwahamasisha na kutoa elimu kwa kwa jamii juu ya kilimo hiki, wasipoteze muda kwa kuwekeza mazao yenye hasara,”amesema Mnkondya.

Akielezea mashamba yake, yaliyopo Mkoa wa Dar es Saam ameyataja kuwa ni Kunduchi na Ununio, Ubungo, Msewe na Boko Calfonia, ambapo vanila imestawi vizuri kwa zaidi ya mita 12 kwa rando(tawi), yanasababisha mkulima kupata fedha nyingi sana kwa maana marando ya vanilla ni biashara isiyokuwa na mipaka.

Pia amesema anao uwekezaji mkubwa uliopo katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Njombe, Dodoma, Kagera, Mwanza na mikoa mingineyo ambako anavuna utajiri wa fedha, hivyo wananchi wajitokeze kuwekeza kwa maendeleo yao.

Mkondya, ameishukuru serikali kwa kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji wa kilimo cha vanila nchini, jambo ambalo linafungua fursa zaidi kwa Watanzania wa ndani na nje ya nchi.

 

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
ErmThao
ErmThao
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by ErmThao
julizaah
julizaah
Reply to  ErmThao
1 month ago

My buddy’s mother-in-law gets $80 an hour on the internet. she has been without work for 12 months but last month her earnings was $16778 just working at home for a few hours per week.
.
.
check out this site………… http://www.join.salary49.com

Last edited 1 month ago by julizaah
Arsmella
Arsmella
1 month ago

Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Julia
Julia
1 month ago

Earn money simply by working online. You are free to work from home whenever you choose. You may earn more than $600 per day working only 5 hours per day online. I made $18,000 with this in my spare time.
.
.
Detail Here———————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
1 month ago

GMAIL.COM

Tangazo.jpg
Mtumwa Said Sandal
Mtumwa Said Sandal
1 month ago

Chat to Live Support

MAPINDUZI.PNG
Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x