Waziri Mkuu akagua mradi wa maji Kwamaligwa

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba leo Februari 14, 2026 amekagua mradi wa maji wa Kwamaligwa uliopo wilaya ya Kilindi mkoani Tanga ambao utagharimu sh bilioni 6.98 hadi kukamilika kwake.

Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha za Mfuko wa Maji chini ya usimamizi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) unatoka kwenye bwawa lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita 670,902,360 kwa mwaka.

Mradi huo unatarajiwa kuhudumia jumla ya wananchi 36,263, wakiwemo wananchi 32,641 wa Kata ya Kibirashi (vijiji sita) na wananchi 3,622 wa Kata ya Kisangasa, Kijiji cha Kwediswati.

Mpaka sasa mkandarasi amelipwa jumla ya sh bilioni 4.61 kwa kazi alizotekeleza.

Habari Zifananazo

7 Comments

  1. Interesting blog! Is your theme custom made or did
    you download it from somewhere? A design like yours with a few
    simple tweeks would really make my blog shine.
    Please let me know where you got your theme. With thanks

  2. Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as though you relied on the
    video to make your point. You definitely know what youre talking about, why throw away your
    intelligence on just posting videos to your site when you could be giving us something enlightening
    to read?

  3. When I originally commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox and now each time a
    comment is added I get three emails with the same comment.
    Is there any way you can remove me from that service? Bless
    you!

  4. Great post. I used to be checking continuously this blog and I am impressed!
    Extremely helpful information particularly the remaining phase :
    ) I care for such information much. I was seeking this certain info for a very long time.
    Thanks and good luck.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button