Waziri Mkuu akagua mradi wa maji Kwamaligwa

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba leo Februari 14, 2026 amekagua mradi wa maji wa Kwamaligwa uliopo wilaya ya Kilindi mkoani Tanga ambao utagharimu sh bilioni 6.98 hadi kukamilika kwake.

Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha za Mfuko wa Maji chini ya usimamizi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) unatoka kwenye bwawa lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita 670,902,360 kwa mwaka.

Mradi huo unatarajiwa kuhudumia jumla ya wananchi 36,263, wakiwemo wananchi 32,641 wa Kata ya Kibirashi (vijiji sita) na wananchi 3,622 wa Kata ya Kisangasa, Kijiji cha Kwediswati.
Mpaka sasa mkandarasi amelipwa jumla ya sh bilioni 4.61 kwa kazi alizotekeleza.




Hello, I desire to subscribe for this blog to get newest updates,
therefore where can i do it please help.
My brother recommended I may like this web site. He was totally right.
This publish actually made my day. You can not believe just
how much time I had spent for this info! Thank you!
Interesting blog! Is your theme custom made or did
you download it from somewhere? A design like yours with a few
simple tweeks would really make my blog shine.
Please let me know where you got your theme. With thanks
Wonderful post! We are linking to this great
article on our site. Keep up the good writing.
Write more, thats all I have to say. Literally, it seems as though you relied on the
video to make your point. You definitely know what youre talking about, why throw away your
intelligence on just posting videos to your site when you could be giving us something enlightening
to read?
When I originally commented I clicked the “Notify me when new comments are added” checkbox and now each time a
comment is added I get three emails with the same comment.
Is there any way you can remove me from that service? Bless
you!
Great post. I used to be checking continuously this blog and I am impressed!
Extremely helpful information particularly the remaining phase :
) I care for such information much. I was seeking this certain info for a very long time.
Thanks and good luck.