Zungu spika mpya wa bunge

DODOMA: Mbunge Mteule wa Jimbo la Ilala, Dar es salaam Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Zungu amechaguliwa kwa kupata kura 378 dhidi ya Wapinzani wake Veronica Charles Tyeah wa Chama cha NFA ambaye hajapata kura, Anitha Alfan wa Chama cha NLD aliyepata kura moja, Ndoge Said Ndonge wa AFP aliyepata kura moja pamoja na Amin Alfred Yango wa ADC ambaye hajapata kura.




Nowadays earning money online is very easy . Eanrs every month online more than $17k by doing very easy home based job in part time u can also do this simple online Job by visiting websiteMore Details For Us→→ http://www.job40.media