Year: 2025

Featured

Niffer akwama, wenzake 20 wafutiwa mashitaka

DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa 20 kati ya 22 walioko katika…

Soma Zaidi »
Utalii

Waziri Kijaji aitaka Tanapa kuongeza ubunifu

MOROGORO: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk Ashatu Kijaji ameagiza Uongozi wa Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuongeza ubunifu wa…

Soma Zaidi »
Afya

Ukatili wa Kijinsia Unaendelea Kuathiri Jamii

UKATILI wa kijinsia ni tatizo linaloendelea nchini Tanzania, linaloathiri jamii kwa njia ambayo ni ya kisaikolojia, kimwili, kiuchumi, na kijamii.…

Soma Zaidi »
Jamii

Dk. Dorothy Gwajima: Safari ya Maisha, Uongozi na Siasa

KUNA baadhi ya viongozi wachache wa Tanzania ambao historia yao ya maisha na kazi inafaa kusimuliwa kwa uangalifu. Mmoja wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

FCT kuimarisha ushindani nchini

DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametembelea Baraza la Ushindani (FCT) katika ofisi baraza zilizopo Dar…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wahimizwa kufanya tafiti zenye tija

MWANZA: WATAFITI nchini wametakiwa kufanya tafiti zenye tija na kuhakikisha matokeo ya tafiti hizo yanawafikia wananchi ili kuchangia utatuzi wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Niffer, wenzake wafikishwa mahakamani

DAR ES SALAAM; MFANYABIASHARA Jeniffer Jovin ‘Niffer’(26)na wenzake 21 wanaokabiliwa na kesi ya uhaini wamefikishwa mahakamani mchana huu kwa ajili…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Taasisi yajizatiti mageuzi teknolojia

“Sekta ya teknolojia ni injini ya maendeleo. Tunazitaka kampuni na taasisi mbalimbali kuungana nasi katika kuendeleza juhudi za kulijenga taifa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Hasheem Thabit: Mchezo ulikuwa mgumu

DAR ES SALAAM: NAHODHA wa Timu ya Basketball ya Dar City, Hasheem Thabit, amesema mashindano waliyoshiriki nchini Kenya yalikuwa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kisuo ataka maoni uboreshaji Wizara ya Kazi

DAR ES SALAAM; NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Mahusiano, Rahma Riyadh Kisuo ameanza rasmi majukumu yake leo na kuwataka…

Soma Zaidi »
Back to top button