Year: 2026

Madini

Burkina Faso yaja Tanzania kujifunza Sekta ya Madini

TANZANIA imeendelea kuimarisha na kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha maarifa na uzoefu katika usimamizi na uendeshaji wa Sekta ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kubecha: Madaraja yameondoa changamoto ya mvua

GAIRO: Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Japhari Kubecha, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya madaraja na barabara wilayani humo,…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tahadhari ichukuliwe mvua za masika kupunguza athari

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa masika unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa Februari hadi Mei…

Soma Zaidi »
Africa

Ripoti: Kenya yazidi kuathiriwa na mihadarati

RIPOTI ya Global Organised Crime Index zinaonesha kuwa Kenya imeendelea kuwa miongoni mwa vituo vikuu vya usafirishaji wa dawa za…

Soma Zaidi »
Tanzania

NEMC yakifunga kiwanda cha HOOTA

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto

MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Sauti za Busara 2027 kufanyika Machi

TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa Mwezi…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

Kibanda cha mkaa . Maana (Meaning)Kiswahili Kibanda cha mkaa ni jengo dogo la muda au la kawaida linalotumika kuuza au…

Soma Zaidi »
Jamii

Serikali yalipa deni trilioni 4/- PSSSF

SERIKALI imelipa madeni ya zaidi ya Sh trilioni 4.27 za watumishi yaliyokuwa yanadaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Salif Keita ashindwa kutumbuiza Sauti za Busara

MWANAMUZIKI Mkongwe Salif Keita ameshindwa kufika Zanzibar na kutumbuiza katika Tamasha la Sauti za Busara 2026 kutokana na kuugua. Kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button