Year: 2026

Tanzania

Mradi njia ya umeme Chalinze-Dodoma wafikia 89%

PWANI: Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma wenye urefu…

Soma Zaidi »
Afya

‘Kada ya Maendeleo ya Jamii iwe injini Dira 2050’

MOROGORO: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima, amesema Kada ya Maendeleo ya Jamii…

Soma Zaidi »
Afya

Sayansi kupewa nafasi kuthibitisha tiba asilia

DAR ES SALAAM: Serikali imeongeza msukumo wa kuunganisha tiba asilia na tiba za kisasa kwa kuwataka wanasayansi na wataalamu wa…

Soma Zaidi »
Featured

Spika: Nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano

DAR ES SALAAM; Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni…

Soma Zaidi »
Biashara

Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuvutia wawekezaji zaidi kutoka…

Soma Zaidi »
Tanzania

Vikundi 28 Iringa Mjini vyalamba Sh milioni 402

IRINGA: Ndoto za mamia ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Manispaa ya Iringa za kujikwamua kiuchumi zimeendelea kupata…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Mtwara: Mtwara iko salama

MTWARA: MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi amewahakikishia wananchi mkoani humo kuwa hali ya usalama kwenye mkoa huo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali kuharakisha utekelezaji miradi ya maendeleo

MARA: WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Featured

Maadhimisho miaka 100 chimbuko la Bunge yaja

DAR ES SALAAM; BUNGE la Tanzania linatarajia kufanya maadhimisho ya miaka 100 ya chimbuko la bunge hilo. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanufaika mikopo ya 10% watakiwa kurejesha kwa wakati

KILIMANJARO: MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Manispaa…

Soma Zaidi »
Back to top button