Year: 2026

Tanzania

‘Wenye sifa ya kupandishwa vyeo wasicheleweshwe

ARUSHA: Serikali imeagiza waajiri na wasimamizi wa rasilimali watu nchini kuhakikisha watumishi wote wenye sifa na waliotengewa bajeti ya kupandishwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kocha wa Yanga SC, Goncalves atimuliwa

DAR ES SALAAM: Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves kuanzia leo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Taasisi za umma Tandahimba zahimizwa nishati safi

TANDAHIMBA: KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang’onda amezitaka taasisi za umma kwenye Halmashauri ya Wilaya ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wataalamu wajengewa uwezo matumizi mashine za mkaa mbadala

MOROGORO: JESHI la Magereza nchini limewapatia wataalamu wake ambao ni askari mafunzo maalumu ya matumizi ya mashine za kutengeneza mkaa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waharibifu mazingira waonywa Mvomero

MOROGORO: MKUU wa Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Maulid Dotto amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuacha kufanya shughuli za kibinadamu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Walimu, wafanyabiashara kunufaika hisa stahiki MCB

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Mstaafu, Kassimu Majaliwa amezindua mpango wa uuzaji wa hisa stahiki wa Mwalimu Commercial Bank (MCB),…

Soma Zaidi »
Featured

Wanne mbaroni mauaji ya mawanafunzi wa IFM

DAR ES SALAAM; Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya James…

Soma Zaidi »
Mafuta

Tanzania yaendelea kuhimili bei ya mafuta duniani

DAR ES SALAAM: MENEJA Mwekezaji wa Bohari ya Mafuta ya MOIL Energies Dk Sajad Habib Rai, amesema Serikali ya Tanzania…

Soma Zaidi »
Tanzania

Shigela mgeni rasmi Siku ya Punda Duniani

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Punda Duniani yatakayofanyika kitaifa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Taasisi yahimiza usawa kijinsia

DAR ES SALAAM: Jamii imehimizwa kuwa na usawa wa kijinsia kwa wanawake katika jamii ili kusukuma gurudumu la maendeleo lengo…

Soma Zaidi »
Back to top button