Lemutuz afariki dunia

MMILIKI wa ‘Le Mutuz’ Blog, William Malecela, maarufu ‘ Le Mbebez’ ‘Kokobanga’ ‘Superbrand’ amefariki dunia leo Mei 14, 2023 katika hospitali ya Jakaya Kikwete jijini Dar es Salaam

Taarifa za kifo chake zimethibitishwa rafiki wa karibu na Lemutuz Sebastian Ndege ‘ Jembe ni Jembe’

Akizungumza na HabariLEO Ndege amesema “Ni kweli rafiki yetu ametutoka, amepambana sana ila ndio hivyo.”

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x