Tanzania kufungua tawi nchini hospitali ya Appollo

SERIKALI ya India imekubalia ombi la Tanzania kufungua tawi la Appollo nchini ili kusogeza huduma za matibabu kwa Watanzania wengi zaidi.
Kukubaliwa kwa ombi hilo limetokana na ziara ya kitaifa nchini India iliyofanywa na Rais Samia kuanzia Oktoba 8 -11 mwaka huu kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya India, Droupadi Murmu.
Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhura Yunus imeeleza kuwa kipaumbele kikubwa cha Tanzania katika ziara hiyo ilikuwa ni dawa, ambapo kuna uhitaji mkubwa wa dawa nchini.
“Kiwango cha dawa kinachozalishwa Tanzania ni kidogo ukilinganisha na mahitaji, kwani 80% ya dawa hununuliwa nje ya nchi ambapo 60% hutoka India. Hivyo katika mazungumzo na wenzetu wa India, Tanzania imesisitiza umuhimu wa Wafamasia wa India kuzalisha humu humu nchini,” Imeeleza taarifa yake.
“Na hilo likifanikiwa ina maana hatua hiyo italinufaisha soko la Afrika Mashariki (EAC) pamoja na Kusini mwa Afrika (SADC). Aidha, India na Tanzania zimekubaliana kuanzisha kituo cha tiba asilia nchini.” Imefafanua taarifa hiyo.
I’ve earned $17,910 this month by working online from home. I work only six hours a day despite being a full-time college student. Everyone is capable of carrying out this work from their homes and learning it in spare time on a continuous basis.
To learn more, see this article———>>> http://Www.Smartcash1.com
Google paid 99 dollars an hour on the internet. Everything I did was basic Οnline w0rk from comfort at hΟme for 5-7 hours per day that I g0t from this office I f0und over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://Www.SmartCash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Tukifanyikiwa:-
KUTAKUWA NA AKILI ZA
WAMEGOMA KUWA MCHINGA/MWANAFUNZI WA CHUO ANAISHI VIZURI KULIKO MTUMISHI WA UMMA