Muhimbili yaboresha ubebaji wagonjwa wasioweza kujihudumia

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Shirika la ASK-International imehitimisha mafunzo maalum ya ubebaji bora wa wagonjwa wasioweza kujimudu wenyewe, wakiwemo wagonjwa waliopooza, wazee wanaohitaji msaada wa kubebwa, pamoja na waliopata ajali au kuumia vibaya ili kuwaepusha na athari nyingine za kiafya wakati wa matibabu.

Akizungumza wakati wa kuhitimisha mafunzo hayo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Huduma za Ukunga na Uuguzi MNH, Redemptha Matindi, amesema hospitali ilibaini kuwepo kwa pengo kubwa katika eneo la ubebaji na uhamishaji wa wagonjwa.

Amesema  hatua hiyo italeta nafuu si kwa wagonjwa pekee bali pia kwa wauguzi, kwa kuwa watatumia mbinu za kisasa na salama zaidi bila wagonjwa kujiweka katika hatari ya kupata maumivu au majeraha kazini.

“Lengo kuu ni kupunguza matatizo yanayoweza kujitokeza wakati mgonjwa akihudumiwa, ikiwemo maumivu makali, vidonda vinavyotokana na kulala muda mrefu, hivyo wakufunzi walijikita katika kutoa mbinu bora za kumhamisha mgonjwa kutoka kitanda kimoja kwenda kingine, kutoka kwenye kiti mwendo kwenda kitandani au kinyume chake, bila kumletea madhara mgonjwa wala mhudumu wa afya,” amesema.

Aidha wauguzi kutoka wodi mbalimbali Muhimbili, ndugu wa wagonjwa wanaohitaji msaada wakiwa nyumbani, pamoja na wanafunzi wa uuguzi kutoka Chuo Kikuu cha Kairuki wamenufaika na mafunzo haya.

Habari Zifananazo

10 Comments

  1. Mto wenye Madini ya Dhababu ikiyofichwa na Wachina wakati wa ujenzi wa Tazara Wajurikana Njombe

    1. I just came across this amazing way to earn $6,000-$8,000 a week online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
      .
      Follow Here ……………………… https://Www.Cash54.Com

    2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  2. I earned $17,932 last month by working online for just 2 hours a day. This job is simple, flexible, and beginner-friendly,S1 making it accessible to everyone. It has helped me manage my finances effortlessly while focusing on my education as a full-time student.
    You can click on this the website and begin

    right away….w­­w­­w­­.t­­o­­d­­a­­y­­.­­e­­a­­r­­n­­5­­4­­.c­­o­­m

  3. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she kaz convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website

    HERE—————w­­w­­w­­.t­­o­­d­­a­­y­­.­­e­­a­­r­­n­­5­­4­­.c­­o­­m

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button