Mudathir Yahya atua Yanga

KLABU ya Yanga, imemsajili kiungo wa zamani wa Azam FC, Mudathir Yahya kwa mkataba wa miaka miwili.

Mudathir amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru, baada ya mkataba wake na waajiri wake wa zamani Azam FC kumalizika tangu mwishoni mwa msimu uliopita.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button