Mudathir Yahya atua Yanga

Mudathir Yahya atua Yanga

KLABU ya Yanga, imemsajili kiungo wa zamani wa Azam FC, Mudathir Yahya kwa mkataba wa miaka miwili.

Mudathir amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru, baada ya mkataba wake na waajiri wake wa zamani Azam FC kumalizika tangu mwishoni mwa msimu uliopita.

Advertisement
Add a comment

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *