Adha ya mvua Dar

ADHA YA MVUA: Mabasi ya shule yakiwa yamekwama katika barabara ya Atlas inayotenganisha mitaa ya Goba na Mivumoni katika wilaya za Ubungo na Kinondoni, Dar es Salaam Ijumaa asubuhi. Mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimearibu miundombinu zikiwemo barabara na kuathiri utoaji huduma za kijamii.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button