Madereva wa ‘mikoani’ wanapotea njia hapa!

MBEYA ; ENEO la makutano ya barabara nne lililopo jirani na Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, limekuwa likilalamikiwa na madereva wageni mkoani Mbeya, hasa wale wa malori yanayoenda wlayani Chunya, au mikoa jirani ya Tabora na Singida, ambao hujikuta wamejichanganya njia kutokana na kutokuwepo alama inayoonesha uelekeo. (Picha na Joachim Nyambo).

 

Habari Zifananazo

One Comment

  1. I am making a good s­al­ary from home $4580-$5240/week , which is amazing und­er a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now its my duty to pay it forward and share it with Everyone, Here is I started_______ ­­­W­­w­­w­­.­­J­­o­­i­­n­­S­­a­­l­­a­­r­­y.­­­C­­­o­­­m­­­

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button