Dk. Samia aahidi kujenga soko la samaki la kimataifa Tanga

TANGA: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo atapewa tena dhamana ya kuongoza nchi, Serikali yake itaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa soko la samaki la kimataifa katika eneo la Pangani, mkoani Tanga, wenye gharama ya shilingi bilioni 1.3.
Akizungumza leo Septemba 29, 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani Pangani, Dk. Samia ameeleza kuwa soko hilo litajengwa katika Kata ya Kipumbwi, na litakuwa chachu ya maendeleo kwa kuongeza kipato cha wavuvi na wafanyabiashara, hivyo kukuza uchumi wa wilaya hiyo.
Aidha, Dk. Samia ameahidi pia kukamilisha ujenzi wa barabara inayounganisha Wilaya ya Bagamoyo hadi Tanga, hususan vipande vya Pangani–Saadani na Makurunge.
Vilevile, ameweka msisitizo katika kuboresha sekta ya mifugo na uvuvi ili ziwe za kisasa zaidi na ziweze kufikia viwango vya kimataifa.
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
My Problem Hi, Do you remember me?
Lets talk here: http://lovehorny.fun/?gallery&s=Beauty_135z !
Please Find me, My nick name is Beauty_135z
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com