DC Ileje ahamasisha ushiriki wa uchaguzi

SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ameendelea kutoa hamasa kwa wananchi wa wilaya kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Siku ya leo, DC Mgomi ametembelea vikundi vya maofisa usafirishaji ‘bodaboda’ wa vijiji vya Itumba, Isongole na Shinji, ambapo amewahimiza vijana hao kuwa mabalozi wa amani na kuhubiri utulivu katika kipindi chote cha uchaguzi.

Katika hamasa hiyo, Mgomi aliwaasa vijana hao kukemea na kutokuruhusu viashiria vyovyote vinavyoweza kuvunja amani, akisisitiza kuwa jukumu la kulinda utulivu ni la kila mwananchi.
Aidha, DC Mgomi amewahakikishia vijana hao kuwa Wilaya ya Ileje itaendelea kuwa salama kabla, wakati na baada ya uchaguzi, ili kuwawezesha kuendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na maendeleo.

Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na vijana katika kujenDC Ileje ahamasisha ushiriki wa uchaguziga mazingira rafiki ya ajira na biashara, ili kuwawezesha kuongeza kipato chao na kuchangia katika kukuza uchumi.




JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com