Abuni mashine kuchakata mafuta ya parachichi

MASHINE rahisi isiyotumia umeme imebuniwa kwa lengo la kuchakata mafuta ya parachichi.

Mbunifu na Mtafiti kutoka Shirika la Utafiti na Maendeleo  ya Viwanda Tanzania (Tirdo), Paul Kipati amesema hayo alipozungumza na HabariLEO kuhusu kuongezea thamani zao la parachichi.

Amesema baada ya kugundua maparachichi mengi yanaharibika kwa kukosa soko, waliamua kubuni teknolojia hiyo itakayokuwa mkombozi kwa wakulima.

“Ikitokea soko ni zuri wakulima watauza parachichi, ikitokea soko sio zuri watatengeneza mafuta ambayo ni malighafi kwa bidhaa za urembo na usafi, malighafi kwa ajili ya mafuta ya kupikia na matumizi mengine mbalimbali.

“Kwa mfano mafuta ya parachichi unaweza kutumia kwa kutengenezea losheni, kupaka kwa ajii ya afya ya mwili, shampoo za kuoshea nywele, sabuni za kuogea hata kutumia kwa ajili ya kupikia zikitengenezwa katika hali ya usafi na ubora,” amesema.

Amesema mafuta hayo ya parachichi kitaalam yana vitamin A kwa wingi na vitamin E ambayo ni chakula cha ngozi pamoja na nywele.

“Kwa hiyo watengenezaji wengi wa vipodozi aina mbalimbali wanatumia mafuta haya kutengeneza  vipodozi vyao,” amesema.

Amesema hata baada ya kuchakata hilo parachichi, mbegu inayobakia ambayo hutupwa kama takataka na yenyewe ni bidhaa.

“Inatengeneza vinywaji mbalimbali,  mfano chai ukichanganya ile mbegu ya parachichi inakuwa ni chai bora inayotoa lehamu kwenye mwili, kusafisha tumbo na vitamin mbalimbali,” amesema.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
DianeHopkins
DianeHopkins
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by DianeHopkins
Angela N. Costilla
Angela N. Costilla
Reply to  DianeHopkins
1 month ago

About 1.3% of women in the United States will be diagnosed with ovarian cancer in her lifetime.2 Although this is much lower than the lifetime risk for developing breast cancer,3 there is no recommended test to screen for ovarian cancer, so unlike breast cancer, ovarian cancer is rarely diagnosed early. When ovarian cancer is found early, a woman has nearly a 93% chance of surviving at least 5 years after she is
.
.
diagnosed____ https://fastinccome.blogspot.com/

Malliolena
Malliolena
1 month ago

>>>> Welcome to the best sex dating site — https://ok.me/wqPA1

Last edited 1 month ago by Malliolena
Julia
Julia
1 month ago

I am making $162/hour telecommuting. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $21,000 a month by working on the web, that was truly shocking for me, she prescribed me to attempt it simply,
.
.
Detail Here———————————————>>>   http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x