Aliyekuwa mmiliki wa Fulham, Harrods afariki dunia

BILIONEA Mohamed al-Fayed, mzaliwa wa Misri ambaye mwanawe alikufa katika ajali ya gari na Princess Diana wa Uingereza, amefariki akiwa na umri wa miaka 94, familia yake imeeleza katika taarifa.

Al-Fayed, mmiliki wa zamani wa duka kuu la Harrods huko London na mmiliki wa klabu ya soka ya Fulham, alimpoteza mtoto wake Dodi Fayed katika ajali ya gari huko Paris na Diana mnamo 1997.

“Bi Mohamed al-Fayed, watoto wake na wajukuu wangependa kuthibitisha kwamba mume wake mpendwa, baba yao na babu yao, Mohamed, amefariki dunia kwa amani siku ya Jumatano Agosti 30, 2023,” familia yake ilisema katika taarifa iliyotolewa na klabu ya soka ya Fulham Ijumaa.

“Alifurahia kustaafu kwa muda mrefu na kufariki akiwa amezungukwa na wapendwa wake. Familia imeomba faragha yao iheshimiwe wakati huu.” familia hiyo ilisema.

Al-Fayed aliamini kuwa Dodi na Diana waliuawa katika njama iliyopangwa na Prince Philip, mume wa Malkia Elizabeth II.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
KatrinaHewlett
KatrinaHewlett
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://earncash82.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by KatrinaHewlett
Julia
Julia
1 month ago

My last pay test was ,500 operating 12 hours per week online. My buddy has been averaging 15,000 for months now and she works approximately 20 hours every week. I can not accept as true with how easy it become as soon as i tried it out.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Tibirizi Chakechake Pemba
Tibirizi Chakechake Pemba
28 days ago

Job Application

OIP.jpeg
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x