Aliyekuwa mmiliki wa Fulham, Harrods afariki dunia

BILIONEA Mohamed al-Fayed, mzaliwa wa Misri ambaye mwanawe alikufa katika ajali ya gari na Princess Diana wa Uingereza, amefariki akiwa na umri wa miaka 94, familia yake imeeleza katika taarifa.
–
Al-Fayed, mmiliki wa zamani wa duka kuu la Harrods huko London na mmiliki wa klabu ya soka ya Fulham, alimpoteza mtoto wake Dodi Fayed katika ajali ya gari huko Paris na Diana mnamo 1997.
–
“Bi Mohamed al-Fayed, watoto wake na wajukuu wangependa kuthibitisha kwamba mume wake mpendwa, baba yao na babu yao, Mohamed, amefariki dunia kwa amani siku ya Jumatano Agosti 30, 2023,” familia yake ilisema katika taarifa iliyotolewa na klabu ya soka ya Fulham Ijumaa.
“Alifurahia kustaafu kwa muda mrefu na kufariki akiwa amezungukwa na wapendwa wake. Familia imeomba faragha yao iheshimiwe wakati huu.” familia hiyo ilisema.
–
Al-Fayed aliamini kuwa Dodi na Diana waliuawa katika njama iliyopangwa na Prince Philip, mume wa Malkia Elizabeth II.
Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet…
Check The Details HERE….. https://earncash82.blogspot.com/
My last pay test was ,500 operating 12 hours per week online. My buddy has been averaging 15,000 for months now and she works approximately 20 hours every week. I can not accept as true with how easy it become as soon as i tried it out.
.
.
Detail Here————————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
Job Application