Na Waandishi Wetu

Featured

Mkwasa: Amani ni ushindi mkubwa kwa Watanzania

DAR ES SALAAM:  NYOTA wa zamani wa Yanga ya Dar es Salaam na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’…

Soma Zaidi »
Biashara

COPRA: Ingieni kilimo cha mkataba kwa wadau waliosajiliwa

dodoma; MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), imewahimiza wakulima na wafanyabiashara wa mazao nchini kuhakikisha wanaingia katika…

Soma Zaidi »
Biashara

Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa AFCON 2027

DAR ES SALAAM; Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza fursa 12 zitakazotokana na Tanzania kuwa mwenyeji mwenza wa Mashindano…

Soma Zaidi »
Biashara

Benki ya TADB yapewa tuzo

DAR ES SALAAM; Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora katika Kutoa Suluhisho za Ufadhili…

Soma Zaidi »
Afya

Serikali yazidi kusogeza karibu huduma za afya

BARIADI, Serikali imeendelea kusogeza karibu huduma za afya  kwa wananchi, baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Zahanati ya Bipyayi  kuzinduliwa…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia akutana na viongozi vyama vya siasa

DAR ES SALAAM; Rais wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa nchini, Ikulu Dar…

Soma Zaidi »
Infographics

Watu 34,139 wafikiwa mradi wa Buhoma

DAR ES SALAAM; WATU 34,139 kutoka vijiji 10 vya kata nne za Tarafa ya Makere, Halmashauri ya Wilaya Kasulu mkoani…

Soma Zaidi »
Afya

Mtaalamu aonya tishio magonjwa ya ini

DAR ES SALAAM; Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) inapokea wastani wa wagonjwa 100 kila wiki katika kliniki ya magonjwa ya…

Soma Zaidi »
Featured

Boti yapinduka Ziwa Nyasa, Wakaa majini saa 6 kuokolewa

WATU saba wakiwemo raia wanne wa Uholanzi, wamenusurika kufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Bandari ya Mbamba Bay,…

Soma Zaidi »
Featured

Madini ya Sh Bil 1.3 yakamatwa Dar yakitoroshwa

DAR ES SALAAM; Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema serikali itaendelea kuchukua hatua kali dhidi ya wanaojihusisha na utoroshaji wa…

Soma Zaidi »
Back to top button