Na Mwandishi Wetu

Featured

Serikali yaagiza wananchi kuweka akiba ya chakula

DODOMA; WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali…

Soma Zaidi »
Diplomasia

UN yaisifu Tanzania kuwa mfano wa amani

UMOJA wa Mataifa (UN) umesema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa amani na mshikamano ndani ya Afrika na duniani kwa ujumla.…

Soma Zaidi »
Featured

Tume ya Uchunguzi yaanza kusikiliza wananchi

TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025…

Soma Zaidi »
Dini

Waumini wakumbushwa kuishi kwa imani

DODOMA; WAUMINI nchini wamekumbushwa kuishi maisha ya imani ili kuandika historia nzuri wakiwa duniani na hata wakitangulia mbele ya haki…

Soma Zaidi »
Dodoma

Samia awapa neno mawaziri wapya

RAIS Samia Suluhu Hassan amemmwagia sifa Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia kuwa alikuwa kiongozi mwenye moyo wa kujali…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Shinyanga: Toeni elimu chanjo ya mifugo

SHINYANGA; Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,  Mboni Mhita amewataka wakuu wa divisheni za mifugo na uvuvi pamoja na maofisa ugani…

Soma Zaidi »
Jamii

Kero ya maji yamkera Mbunge Ngorongoro

MBUNGE wa Jimbo la Ngorongoro mkoani Arusha, Dk Yannick Ndoinyo ameahidi kufuatilia kujua kwa nini mradi wa maji wenye thamani…

Soma Zaidi »
Tanzania

CCM Kata Osunyai waja kivingine

ARUSHA; CHAMA cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Osunyai jijini Arusha,  kimesema katika kujiimarisha kiuchumi, kipo katika mpango wa ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Featured

Mhagama kuzikwa Des.16 kijijini Ruanda

DODOMA; MBUNGE wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mhagama aliyefariki dunia leo Desemba 11, 2025 mjini Dodoma, atazikwa Desemba 16, 2025…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Pwani ataka weledi kwa watendaji

PWANI: Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema wakuu wa wilaya, wakurugenzi na watendaji mbalimbali wa serikali wanapaswa kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Back to top button