Na Grace Mkojera

Featured

Singida BS yachomoza mbele ya Yanga, Simba

DAR ES SALAAM. RAUNDI ya kwanza ya Ligi Kuu Bara imemalizika, huku Singida Black Stars ikiibuka kinara baada ya kuanza…

Soma Zaidi »
Jamii

Rais Samia aikabidhi cheti cha shukrani NSSF Tamasha la Kizimkazi

ZANZIBAR; Rais wa  Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan,  Agosti 14, 2026, amemkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Dar City, Mlimani zang’ara kikapu Dar

DAR ES SALAAM. TIMU ya Dar City imeendeleza ushindani katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam baada ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wawili jela miaka 30 kila mmoja kwa ubakaji

MBEYA; Mahakama ya Wilaya ya Chunya imewahukumu watu wawili kifungo cha miaka 30 jela kila mmoja baada ya kutiwa hatiani…

Soma Zaidi »
Afya

KCMC waja na mpango kukakabili magonjwa ya kuambukiza

KILIMANJARO; Katika juhudi za kuimarisha uwezo wa Tanzania kwenye utafiti wa afya na mapambano dhidi ya magonjwa ya kuambukiza, Chuo…

Soma Zaidi »
Featured

Wafukua kaburi, wadaiwa kuchukua mabaki ya mwili

KATAVI; Familia ya Zacharia Anthony wa Mtaa wa Nsemulwa, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, imekumbwa na sintofahamu baada ya kaburi…

Soma Zaidi »
Featured

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa zabuni AFCON

DAR ES SALAAM; Kampuni, taasisi, watoa huduma wenye uwezo na sifa stahiki wa Tanzania wamehimizwa kuchangamkia fursa mbalimbali za zabuni…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali kuendelea kujenga mazingira bora kwa walimu

MOROGORO; Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuweka mazingira bora na salama ya kazi kwa walimu wote nchini na  kushirikiana bega…

Soma Zaidi »
Infographics

Chunya kukusanya Sh Bil 20 mapato ya ndani

MBEYA; HALMASHAURI ya Wilaya ya Chunya, Mkoani Mbeya inatarajia kukusanya Sh bilioni 20 za mapato ya ndani katika mwaka wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

ABC yaiduwaza Savio kikapu Dar

DAR ES SALAAM; ABC imepata ushindi wa pointi 68-65 dhidi ya Savio katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa…

Soma Zaidi »
Back to top button