Na Mwandishi Wetu

Tanzania

Rais Samia amuomboleza mwanamuziki Steven Hiza

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kufuatia kifo…

Soma Zaidi »
Gesi

Waziri Ndejembi, Balozi wa Oman wajadili mafuta, gesi

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Kuna haja kuibua, kulea waandishi bunifu Watanzania’

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda, amesema kuwa jukumu la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ni kuandaa…

Soma Zaidi »
Infographics

Vifaa tiba vya Mil 183/- kusaidia upasuaji rekebishi MNH

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imepokea vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 183 kutoka Shirika la Operation Smile…

Soma Zaidi »
Kanda

Polisi yawafunda watendaji wa mitaa, vijiji na kata Geita

JESHI la Polisi nchini limetoa mafunzo kwa watendaji wa mtaa, vijiji na kata mkoani Geita ili washiriki kikamirifu katika kulinda…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ujenzi daraja la Jangwani Dar washika kasi

UJENZI wa Daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 na upana wa mita 41 unaeendelea mkoani Dar es Salaam.…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

Origin of “Kibanda cha mkaa” (in English) The expression “kibanda cha mkaa” originates from Bantu languages, which form the foundation…

Soma Zaidi »
Kanda

Waziri Mkuu apiga ngoma Mombo

Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba akipiga ngoma katika eneo la Mombo wakati akihitimisha ziara yake Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.…

Soma Zaidi »
Afya

‘Huduma jumuishi zitolewe vituo vya tiba’

MGANGA Mkuu wa Serikali Dk Grace Magembe amevitaka vituo vyote vya tiba nchini kuwa na mfumo wa huduma jumuishi badala…

Soma Zaidi »
Infographics

Samia azungumza na wanahabari juu ya kutokomeza malaria

RAIS Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanahabari juu ya ufadhili endelevu wa kutokomeza Malaria pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button