Mwandishi wetu

Madini

Tanzania kuitangaza ‘Tanzanite’ Qatar

SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji…

Soma Zaidi »
Fedha

TRA yaja kivingine huduma kwa walipa kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzindua ofisi zinazotembea kwa kutumia magari ya…

Soma Zaidi »
Dini

CCM: Pengo atakumbukwa kwa faraja, tumaini

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali…

Soma Zaidi »
Africa

Siasa zayumbisha uchumi Kenya

MVUTANO wa kisiasa na kauli kali kutoka kwa viongozi wa zamani tayari umeanza kujitokeza nchini Kenya huku taifa hilo likijiandaa…

Soma Zaidi »
Afya

Kenya : Hospitali zakabiliwa mzigo wa magonjwa

HOSPITALI nchini Kenya zinakabiliwa na ongezeko la mzigo wa magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza hali inayoongeza changamoto katika…

Soma Zaidi »
Safari

Mgomo wa daladala watingisha usafiri Kilimanjaro

HUDUMA za usafiri zimekumbwa na kadhia katika maeneo ya Marangu, Holili, Njiapanda na Mwanga baada ya madereva wa daladala kuanza…

Soma Zaidi »
Africa

Presha ya uchumi yatikisa Kenya 2027

KENYA inaingia katika kipindi nyeti cha kiuchumi huku ikikaribia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027, wakati changamoto kadhaa za uchumi zikiendelea…

Soma Zaidi »
Gesi

Korea Kusini wafadhili ujenzi mtambo bayogesi Monduli

TAASISI ya Wanasayansi Wahandisi Wasio na Mipaka (SEWB) ya Korea Kusini imefadhili ujenzi wa mtambo wa kuzalisha gesi asilia ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Katambi aonya wanaochafua nchi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameonya watu wanaotumika kuichafua nchi. Katambi amesema hayo kwenye mkutano wa…

Soma Zaidi »
Biashara

Masoko Dar yapandisha bei za bidhaa

VIONGOZI wa masoko mkoani Dar es Salaam wamesema kupanda au kushuka kwa bei ya vyakula kunategemea zaidi upatikanaji wa bidhaa…

Soma Zaidi »
Back to top button