Theresia Challe, Manyara

Tanzania

Wananchi 35,000 wanufaika majisafi Babati

MANYARA: Mamlaka ya  Majisafi na Usafi wa Mazingira Babati (BAWASA) mkoani Manyara imekamilisha mradi wa maji wa Darakuta hadi Minjingu…

Soma Zaidi »
Jamii

Takukuru yawagusa wenye uhitaji Manyara

‎MANYARA: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imekabidhi vyakula na zawadi mbalimbali kwa watoto yatima…

Soma Zaidi »
Africa

Tanzania yashiriki mkutano wa uchukuzi Afrika Kusini

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Masuala ya Uchukuzi (NCT) uliofanyika katika ukumbi wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kwahani FC mabingwa Masauni Cup

ZANZIBAR: Timu ya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mbunge Bukoba Mjini awafikia wenye uhitaji

BUKOBA: Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mutasingwa, ametoa msaada kwa makundi maalumu pamoja na wanufaika wa Mfuko wa…

Soma Zaidi »
Dini

Ahmadiyya yawafariji wenye uhitaji Moro

MOROGORO: JUMUIYA ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imetoa vyakula katikakaya zaidi ya 200 zenye uhitaji zinazoishi Kata ya Kihonda Maghorofani…

Soma Zaidi »
Africa

Zambia yakamata kilo 550 za pembe za ndovu

LUSAKA: Mamlaka za Zambia zimekamata karibu kilo 550 za pembe za ndovu na kuwakamata watu tisa wanaodaiwa kuhusika na mtandao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yataka tija kampuni zenye hisa chache

ARUSHA: Serikali imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uwekezaji huo unaleta matokeo yanayopimika…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mchechu azibana bodi ataka uongozi kimkakati

ARUSHA: Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amewataka wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

*Kisima cha maji ni neno la Kiswahili linalomaanisha “water well”kwa Kiingereza. Meaning (Maana) Kisima = well (shimo linalochimbwa ardhini kupata…

Soma Zaidi »
Back to top button