Na John Nditi, Kilimanjaro

Michezo na Burudani

Wazee wajitosa kushiriki mashindano ‘West Kill Forest’

KILIMANJARO: WANAMICHEZO na wapenzi wa utalii ikolojia zaidi ya 350 wakiwemo wazee wenye umri mkubwa wamejitokeza kujisajili ili kushiriki mashindano…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanafunzi wa kike Moro wanolewa ujasiriamali

MOROGORO: TAASISI ya  Kumbukumbu ya Celina Kombani iliyopo mkoani Morogoro imeazisha mradi  kufundisha ujasiliamali mdogo kwa wanafunzi wa kike unaolenga …

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana Dira 2050

DODOMA: Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo,…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mpogolo awapiga mkwara makandarasi Ilala

DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wote…

Soma Zaidi »
Tanzania

Madiwani Tandahimba wakumbushwa ukusanyaji mapato

MTWARA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara wamekumbushwa kuhakikisha wanahusika katika suala la ukusanyaji wa mapato kwenye…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wakili aeleza uhalali wa mwekezaji Shamba Na 1135 Magunga Iringa

IRINGA: Maelezo ya kina yaliyotolewa na wakili wa kampuni ya Iringa Food and Beverages Ltd (IFB), Innocent Boniface yametoa mwelekeo…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania, Belarus kushirikiana kibiashara

DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania na Belarus zimesaini mkataba wa kuanzisha mkakati maalum utakaoratibu ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara…

Soma Zaidi »
Fedha

Ubunifu watakiwa ukusanyaji kodi

DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika jitihada za kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi, kuna…

Soma Zaidi »
Utalii

‘Serikali haijazuia uwindaji wa kitalii’

ARUSHA: Serikali imesema haina mpango wa kusimamisha au kuzuia shughuli za uwindaji wa kitalii na badala yake inaendelea kuandaa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yatoa neno sheria ya elimu

Serikali imesema ipo kwenye mchakato wa kutengeneza sheria ya elimu ya mwaka 1978 baada ya kushirikisha wadau katika kutoa maoni…

Soma Zaidi »
Back to top button