Na Aveline Kitomary

Afya

Watoto 200 kupewa matibabu bure MOI

DAR ES SALAAM: Zaidi ya watoto 200 wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo wazi watapatiwa matibabu bure katika Taasisi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanga kudhibiti wizi wa siafu, mayai ya bundi

SERIKALI mkoani Tanga kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), zitaendelea kuimarisha ulinzi wa pamoja katika Hifadhi…

Soma Zaidi »
Tanzania

BoT yawanoa walemavu Singida elimu ya fedha

SINGIDA: Katika mkakati wa kuwa na uchumi jumuishi unaochangiwa na makundi yote ndani ya jamii, Benki Kuu ya Tanzania (BoT)…

Soma Zaidi »
Tanzania

Takukuru kuchunguza kampuni zinazodaiwa AMCOS Geita

GEITA: SERIKALI imeiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufuatilia kampuni zote ambazo zimeshindwa kulipa madeni ya Vyama…

Soma Zaidi »
Biashara

Makamishna wapya waahidi kusimamia ushindani wa haki sokoni

KILIMANJARO: Mamlaka ya Ushindani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACCA) zimekutana Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro leo Aprili 23, 2026 na…

Soma Zaidi »
Afya

KCMC yahimiza uchangiaji ujenzi kituo cha moyo

DAR ES SALAAM: UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) umeomba wananchi wa ndani na nje ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Serikali yajizatiti usalama kwa wachimbaji wadogo

KAHAMA: Serikali imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuwawezesha wakaguzi wakuu wa migodi na wachimbaji wadogo nchini ili kuimarisha usalama kazini, kulinda…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanga yajipanga uchumi wa kijani

TANGA: MKUU wa Mkoa wa Tanga, Balozi Bk Batilda Burian amesema mkoa utaendelea na jukumu la kusimamia uhifadhi wa mazingira…

Soma Zaidi »
Tanzania

TFS yaanzisha utalii ikolojia hifadhi ya mikoko Tanga

TANGA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imetenga Sh milioni 578 kwa ajili ya kutekelezaji wa mradi wa kuboresha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Matumizi akili mnemba yaongeza ufanisi UDSM

DAR ES SALAAM:  Matumizi ya teknolojia ya Akili Mnemba yameelezwa kuwa nyenzo muhimu katika kuimarisha ufanisi wa taasisi, huku Chuo…

Soma Zaidi »
Back to top button