Uchumi

Puma Energy Tanzania wampongeza Rais Samia mazingira uwekezaji

DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora na wezeshi…

Soma Zaidi »

Dk. Mwigulu – Jiungeni soko la hisa la DSM

DAR-ES-SALAAM: WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, ameipongeza Benki ya Azania kwa kuorodheshwa rasmi katika Soko la Hisa la Dar…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara wadaka fursa SGR

DAR ES SALAAM; BAADHI ya wafanyabi ashara wamejitokeza kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutaka wawe wanasa fi rishiwa mizigo…

Soma Zaidi »

DP World yamaliza foleni bandarini

JUMUIYA ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imesema uwekezaji uliofanywa na serikali katika Bandari ya Dar es Salaam, umekuwa na ufanisi mkubwa…

Soma Zaidi »

Mwinyi: SMZ itaendelea kuweka mazingira mazuri uchumi buluu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa…

Soma Zaidi »

Marekani yasifu ubora SGR

BALOZI wa Marekani nchini, Michael Battle ameisifia treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kwa huduma bora na huku akisema amesafiri…

Soma Zaidi »

Bei petroli, dizeli yashuka

BEI ya mafuta ya petroli na dizeli kwa jumla na rejereja kwa Januari, 2025 imeendelea kushuka kulinganisha na Desemba 2024.…

Soma Zaidi »

TRA yataja sababu 8 kuvunja rekodi makusanyo 2024

DAR ES SALAAM; MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetaja sababu nane za ufanisi wa makusanyo ya mapato ya Sh trilioni…

Soma Zaidi »

Matukio mwaka 2024; Treni ya kisasa SGR yaanza kutoa huduma

MWAKA 2024 Tanzania iliandika historia nyingine ya kuanza usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR). Historia hiyo ilianza Juni 14 kwa…

Soma Zaidi »

Mradi ‘Mama Jasiri’ kuimarisha wanawake wazalendo Tz

TANZANIA na Uturuki zimeimarisha ushirikiano wao kwa kuzindua rasmi mradi wa ‘Mama Jasiri’ unaolenga kuwawezesha wanawake kiuchumi na kijamii kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button