Uchumi

Walimu wa hesabu kuandaa wanafunzi uchumi kidigitali

MKURUGENZI wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk Jabiri Bakari amewataka walimu wa hisabati ambao wana nafasi muhimu katika elimu…

Soma Zaidi »

TCB kushirikiana na SMZ kukuza uchumi

ZANZIBAR: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika vipaumbele vyake…

Soma Zaidi »

TRA kutumia ‘Ndondo Cup’ kuzuia utumiaji bidhaa hatarishi

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo amesema TRA imeamua kutumia michezo katika…

Soma Zaidi »

“Mamlaka inachangia ongezeko la chakula”

DODOMA: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu nchini, (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru amesema mamlaka hiyo ina…

Soma Zaidi »

PBZ yaongeza faida kwa asilimia 18

ZANZIBAR: BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ Bank) imetangaza ripoti yake ya kifedha ya nusu ya kwanza ya mwaka 2024,…

Soma Zaidi »

TCB yajivunia mafanikio mradi wa SGR

DAR ES SALAAM:  Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imesema inajivunia kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR) uliozinduliwa hivi…

Soma Zaidi »

Mradi wa SGR: Tanzania imethubutu

HISTORIA imeandikwa leo kupitia tukio la leo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kufanya uzinduzi wa Reli ya SGR. Tukio…

Soma Zaidi »

Kaya maskini 300 zawezeshwa kiuchumi

DODOMA: MRADI wa Kuwajengea Uwezo Wenye Ulemavu wanaoishi katika Kaya Maskini (DIG) katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, umesaidia kuzijengea…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Hakuna uchotaji fedha BoT

DAR-ES-SALAAM: WAZIRI wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema hakuna utata au uchotaji wa Fedha katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Tumechoka kukopa, kunyanyasika

ZANZIBAR; RAIS Samia Suluhu Hassan amemtaka bosi mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kuhakikisha anaziba mianya ya…

Soma Zaidi »
Back to top button