Featured

Featured posts

Vigogo 6 wa mahakama kortini fedha za mirathi

GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi sita wa Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Soma Zaidi »

Benki ya ushirika yaimarisha mkakati uchumi jumuishi

DAR ES SALAAM: BENKI ya Ushirika (Coop Bank) imeendelea kuimarisha mkakati wake wa kukuza uchumi jumuishi kwa kuongeza kiwango cha…

Soma Zaidi »

Naibu Waziri Nishati ashiriki mkutano Misri

MISRI; NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa…

Soma Zaidi »

Rais Samia aipongeza Simba kutwaa ubingwa

ZANZIBAR; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada…

Soma Zaidi »

Simba ilivyoivua ubingwa Yanga

ZANZIBAR; SIMBA jana iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano…

Soma Zaidi »

Serikali yaimarisha hatua za kudhibiti bei za mafuta

DAR ES SALAAM; Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kudhibiti mwenendo wa bei za mafuta nchini, ikiwa ni jitihada za…

Soma Zaidi »

Nyalandu: Hatua zinazochukuliwa na Samia zitaiponya nchi

DAR ES SALAAM: SIKU chache baada ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada…

Soma Zaidi »

PURA yapongezwa usimamizi uchimbaji visima vya gesi

DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dk James Mataragio ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu…

Soma Zaidi »

Miradi ya gesi Mtwara yaikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi

DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia…

Soma Zaidi »

Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima Nigeria

DODOMA – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Uzamivu ya Heshima kutoka Nasarawa State University, Keffi nchini…

Soma Zaidi »
Back to top button