Featured

Featured posts

Bidhaa bandia za bil 4/- zanaswa, sasa kuteketezwa

DAR ES SALAAM: Serikali imekamata na kuziondoa sokoni bidhaa bandia 99,100 zenye thamani ya Sh bilioni 4 zilizokuwa zikiuzwa kinyume…

Soma Zaidi »

Tume ya uchunguzi yaongezewa siku 21

DODOMA – Mamlaka ya Uteuzi nchini Tanzania imeongeza muda wa siku 21 kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa…

Soma Zaidi »

Tanzania yapiga hatua mifumo ya malipo kikanda

MOROCCO: Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuunganishwa na mifumo ya…

Soma Zaidi »

Wanasiasa wanaimani Tume ya Jaji Chande

BAADHI ya wanasiasa wameeleza imani yao kuwa majibu sahihi kuhusu chanzo cha vurugu zilizotokea Oktoba 29 mwaka jana yatapatikana kupitia…

Soma Zaidi »

Wanu akutana na Watanzania 16 wanaosoma Afrika Kusini

JOHANESBURG, AFRIKA KUSINI: Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir, amefanya ziara katika Chuo Kikuu cha Johannesburg…

Soma Zaidi »

Rais Samia: Taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri

DAR ES SALAAM — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri…

Soma Zaidi »

Vangimembe Lukuvi: Jabali la Siasa Mbunge Mkongwe Aaga Dunia

TANZANIA imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe na waliolitumikia taifa kwa muda mrefu, William Vangimembe Lukuvi, aliyefariki dunia leo, Machi…

Soma Zaidi »

Waziri Lukuvi afariki dunia

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…

Soma Zaidi »

Tanzania, A. Kusini zaweka mkazo ufundishaji Kiswahili

CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI: Tanzania na Afrika Kusini zimeongeza juhudi za kutekeleza Hati ya Makubaliano (MoU) ya mwaka 2022 kuhusu…

Soma Zaidi »

Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi

DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya…

Soma Zaidi »
Back to top button