Infographics

DED wa zamani Simanjiro mbaroni uhujumu uchumi

MAHAKAMA ya  Wilaya  ya Simanjiro mkoani Manyara imemshikilia aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Warioba Gunzar…

Soma Zaidi »

DC Nzega asisitiza wanafunzi kwenda shule bila sare

MKUU wa Wilaya ya Nzega, Naitapwaki Tukai ametoa wito kwa wananchi wote kuwapeleka shule watoto wasio na sare za shule,…

Soma Zaidi »

Dorothy Semu kugombea urais 2025

DAR ES SALAAM: KIONGOZI wa Chama cha ACT –Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri…

Soma Zaidi »

Jaji Mkuu ataka taasisi kutenda haki

DAR ES SALAAM :Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma amezihimiza Taasisi zote nchini zinazotoa huduma kwa umma kuzingatia suala…

Soma Zaidi »

Maliasili, Mambo ya Ndani kushirikiana kukuza utalii

WIZARA ya Maliasili na Utalii imetakiwa kushirikiana kwa ukaribu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  katika kukuza soko…

Soma Zaidi »

Dar es Salaam sasa ni kijani

KAMPUNI ya Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa kushirikiana na Kampuni ya African Carbon Agency imezindua zoezi la upandaji miti katika…

Soma Zaidi »

Makalla: Wapinzani wanahamia CCM kwa kasi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuna kasi kubwa ya viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani kukimbilia chama hicho kutokana…

Soma Zaidi »

CCT yasihi diplomasia kujumuishwa kama kichocheo Dira ya Taifa 2050

DAR ES SALAAM:MKURUGENZI wa Programu za Maendeleo na Utetezi wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Azgard Stephen alipendekeza  kuimarishwa kwa…

Soma Zaidi »

Uchumi wa Mtwara wazidi kupaa

UCHUMI wa Mkoa wa Mtwara umeendelea kuimarika na kufikia Sh trilioni 5.2 msimu wa mwaka 2023 kutoka Sh trilioni 4.7…

Soma Zaidi »

Mvomero wafanya kweli mikopo asilimia 10

HALMASHURI ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro imekamilisha awamu ya kwanza ya utaratibu wa utoaji wa mikopo yenye thamani ya…

Soma Zaidi »
Back to top button