Infographics

Serikali yashauriwa mkakati maalum ukuzaji uchumi

MSHAURI Mikakati wa Shirika la Foundation for Civil Societies(FCS), Prudence Zoe Glorious ameshauri serikali kuwa kufikia mwaka 2050 ni muhimu…

Soma Zaidi »

TRA yajizatiti makadirio ya kodi kwa wakati

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imewahimiza wafanyabiashara kutumia kipindi hiki cha mwanzo wa mwaka 2025 kufika Ofisi…

Soma Zaidi »

Gigy aamua kuokoka

MSANII wa Bongo fleva Gift Stanford ‘Gigy Money ameamua kuokoka na kufuata nyayo za msanii mwenzake Irene Uwoya ambaye kwa…

Soma Zaidi »

Brandy Rayana kuzindua kitabu cha maisha yake

MSANII wa muziki na filamu kutoka Marekani, Brandy Rayana ametangaza kuzindua kitabu chake cha kumbukumbu za maisha yake ambacho kinatarajia…

Soma Zaidi »

BFT kuibua vipaji vya mabondia wanawake

SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT) limesema linatarajia kufanya shindano maalum mwishoni mwa mwezi huu ili kuibua vipaji vya mabondia wanawake…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi aagiza nyumba hifadhi ya barabara zivunjwe

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kuondoa…

Soma Zaidi »

Samaki waanza kushuka, nyama bado juu Dar

DAR ES SALAAM: BEI za vitoweo katika Mkoa wa Dar es Salaam zimeendelea kuimarika huku nyama ikiendelea kuwa juu ikiuzwa…

Soma Zaidi »

“Tanzania ina nafasi kukuwa kiuchumi 2050”

DAR ES SALAAM: OFISA Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Hanspaul, Satbir Singh Hanspaul amesema kuwa Tanzania ipo katika nafasi nzuri…

Soma Zaidi »

Wanachama CCM wataka katibu Simanjiro ang’oke

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata za Mirerani na Endiamtu wilayani Simanjiro mkoani Manyara wamesikitishwa na hatua ya katibu…

Soma Zaidi »

Wilaya 108 zafikiwa huduma za mawasiliano

WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema jumla ya wilaya 108 nchini zimefikiwa na ujenzi wa miundombinu ya Mkongo…

Soma Zaidi »
Back to top button