Infographics

Wananchi Kiteto waishukuru serikali ujenzi barabara

WANANCHI wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja…

Soma Zaidi »

Mchungaji apongeza Lugumi kuwajenga ghorofa yatima

KITENDO cha mfanyabiashara Said Lugumi kuwajengea nyumba ya ghorofa watoto yatima kimewagusa baadhi ya waumini wa dini mbalimbali nchini, huku…

Soma Zaidi »

Mkumbo ataka stendi ya Katesh ikamilike kwa wakati

MANYARA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametoa maagizo kwa mkandarasi anayejenga stendi mpya ya…

Soma Zaidi »

Washiriki ‘Samia Bonanza’ waomba vifaa vya kisasa

WASHIRIKI wa michezo mbalimbali ya ‘Samia Jumbe Holiday Bonanza’ Manispaa ya Shinyanga  wamejitokeza kwa wingi huku wakiomba upatikanaji wa vifaa…

Soma Zaidi »

Waziri Mavunde asimamisha uchimbaji madini Mto Zila

Waziri wa Madini, .Anthony Mavunde  amesimamisha shughuli za uchimbaji zilizokuwa zikifanywa na kampuni ya G & I Tech Mining Company…

Soma Zaidi »

“Barabara Kimara-Bonyokwa-Kinyerezi ikamilike haraka”

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametembelea barabara ya Kimara – Bonyokwa – Kinyerezi yenye urefu wa kilometa 7 iliyopo mkoani…

Soma Zaidi »

JNHPP chachu maendeleo ya uchumi – Dk Kazungu

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dk Khatibu Kazungu amesema mradi Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius…

Soma Zaidi »

“Wezi wa mil 200/- za bodaboda wasakwe”

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mrisho Mashaka Gambo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kusaidia…

Soma Zaidi »

ACT yatoa wito kumaliza vurugu Msumbiji

CHAMA cha ACT- Wazalendo kimetoa wito kwa serikali kuhakikisha inadhibiti mpaka wa Msumbiji na mikoa jirani ya Tanzania ili kulinda…

Soma Zaidi »

CCM Kigoma yashukuru ushindi serikali za mitaa

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Kigoma kimewashukuru wananchi mkoani humo kwa kukipa chama hicho ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button