Infographics

Washiriki ‘Samia Bonanza’ waomba vifaa vya kisasa

WASHIRIKI wa michezo mbalimbali ya ‘Samia Jumbe Holiday Bonanza’ Manispaa ya Shinyanga  wamejitokeza kwa wingi huku wakiomba upatikanaji wa vifaa…

Soma Zaidi »

Waziri Mavunde asimamisha uchimbaji madini Mto Zila

Waziri wa Madini, .Anthony Mavunde  amesimamisha shughuli za uchimbaji zilizokuwa zikifanywa na kampuni ya G & I Tech Mining Company…

Soma Zaidi »

“Barabara Kimara-Bonyokwa-Kinyerezi ikamilike haraka”

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametembelea barabara ya Kimara – Bonyokwa – Kinyerezi yenye urefu wa kilometa 7 iliyopo mkoani…

Soma Zaidi »

JNHPP chachu maendeleo ya uchumi – Dk Kazungu

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dk Khatibu Kazungu amesema mradi Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius…

Soma Zaidi »

“Wezi wa mil 200/- za bodaboda wasakwe”

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mrisho Mashaka Gambo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kusaidia…

Soma Zaidi »

ACT yatoa wito kumaliza vurugu Msumbiji

CHAMA cha ACT- Wazalendo kimetoa wito kwa serikali kuhakikisha inadhibiti mpaka wa Msumbiji na mikoa jirani ya Tanzania ili kulinda…

Soma Zaidi »

CCM Kigoma yashukuru ushindi serikali za mitaa

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Kigoma kimewashukuru wananchi mkoani humo kwa kukipa chama hicho ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa…

Soma Zaidi »

Watoto 38 wazaliwa mkesha wa krismas Arusha

JUMLA ya watoto  38 wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya kuzaliwa Yesu Kristo ndani hospital nne kubwa zilizopo Arusha Jana.…

Soma Zaidi »

Samia: Tuiombee nchi idumu katika amani, umoja

DAR ES SALAAM; RAIS Samia Suluhu Hassani, amewaomba Watanzania waungane kuiombea nchi iendelee kudumu katika amani, umoja na utulivu. Rais…

Soma Zaidi »

DC Mwenda ataka amani sikukuu chrismas Iramba

Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Yusuph Mwenda amewataka Wananchi wa Wilaya ya Iramba kusherehekea sikukuu ya Krismasi…

Soma Zaidi »
Back to top button