Infographics

Watakiwa kupima mizigo kidijitali

MRAJISI na Mtendaji Mkuu kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dk Benson Ndiege amewataka wakulima kuhakikisha wanapopeleka mizigo…

Soma Zaidi »

Rwepas sekondari wajiweka sawa maadili

WAZAZI wanaosomesha watoto wao katika shule ya Sekondari Rwepas iliyopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwachunga watoto wao kwa kuepuka…

Soma Zaidi »

Mambo makubwa yaja miaka 60 Hifadhi ya Ruaha

IRINGA; Makundi mbalimbali ya kijamii yanatarajia kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 tangu…

Soma Zaidi »

UN kujadili mizozo duniani

MAREKANI : ZAIDI ya wakuu 100 wa umoja wa mataifa wamepangiwa kuhutubia jukwaa muhimu kuanzia  leo hadi jumatatu wiki ijayo.…

Soma Zaidi »

TRUMP kutogombea tena urais

MAREKANI : RAIS wa zamani wa Marekani Donald Trump (78) amesema hatawania muhula wa nne mfululizo wa urais ikiwa atashindwa…

Soma Zaidi »

Wananchi kunufaika na mradi wa maji Biharamulo

WANANCHI zaidi ya 4500 wa kijiji cha Kasato kata ya Nyakanazi Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wameondokana na shida ya…

Soma Zaidi »

Huyu ndiye tajiri namba moja China

CHINA: Zhong Shanshan ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya maji ya chupa ya Nongfu Spring, ambayo iliorodhesha hisa zake…

Soma Zaidi »

NEMC washinda tuzo uhabarishaji umma

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshinda tuzo ya ‘Stories of change’ kipengele cha taasisi ya…

Soma Zaidi »

Bil 8.4/- kurudisha huduma meli ya MT Sangara

KIGOMA: MELI ya Mafuta ya MT Sangara iliyokuwa katika ukarabati mkubwa inatarajia kukabidhiwa kwa serikali ili kuanza kutoa huduma za…

Soma Zaidi »

Hali Myanmar bado tete

ASIA : IDADI ya waliofariki kutokana na Kimbunga Yagi nchini Myanmar imefikia watu 293, huku wengine 89 wakiwa hawajulikani walipo.…

Soma Zaidi »
Back to top button