Jamii

Vigogo 6 wa mahakama kortini fedha za mirathi

GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi sita wa Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Soma Zaidi »

Tandahimba wapewa nguvu majanga ya moto

MTWARA; WANANCHI wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wametakiwa kutoa mapema taarifa za majanga ya moto yanapojitokeza kwenye maeneo yao. Kauli hiyo…

Soma Zaidi »

Filamu kuelimisha jamii changamoto za tabianchi

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la My Legacy limekutana na asasi za kiraia zinazoshughulika na masuala ya wanawake, watoto na makundi…

Soma Zaidi »

Utekelezaji hafifu wa Sera watajwa chanzo cha ukatili kijinsia

DAR ES SALAAM : Kukithiri kwa ukatili na ndoa za utotoni ni hatua inayotokana na sera na sheria kutofanyiwa kazi…

Soma Zaidi »

‘Usawa kijinsia nguzo muhimu maendeleo endelevu’

DAR ES SALAAM: Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia unaendelea kuwa nguzo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu, kukuza uchumi na kuimarisha…

Soma Zaidi »

Washindi shindano la uchoraji wapewa zawadi

DAR ES SALAAM:BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa zawadi kwa washindi wa shindano la uchoraji kwa vijana lijulikanalo kama…

Soma Zaidi »

WIMA yatoa tuzo za heshima kwa wanawake 30 Afrika

DAR ES SALAAM: KATIKA jitihada za kutambua na kuenzi mchango wa wanawake katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi barani Afrika,…

Soma Zaidi »

Amani yaongeza kasi ya ubunifu

MBUNIFU wa mavazi kutoka AM_Fashion, Agusta Masaki, amesema kuwa amani iliyopo nchini Tanzania ni nguzo muhimu inayowawezesha wabunifu na wafanyabiashara…

Soma Zaidi »

Miss Tanzania yakabidhiwa Lamata Village

MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yameingia katika sura mpya baada ya jukumu la kuyaendesha kukabidhiwa rasmi kwa taasisi ya…

Soma Zaidi »

Wanawake vyombo vya ulinzi Manyara watakiwa kujiweka sawa kiuchumi

MANYARA: WANAWAKE wa vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Manyara wamejengewa uwezo katika kusimamia vizuri malezi na makuzi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button