Jamii

Wanawake 50 kuwezeshwa uchumi wa urembo

DAR ES SALAAM: Wanawake vijana 50 wanatarajia kujengewa uwezo na kukuzwa kiuchumi kupitia sekta ya urembo inayokua kwa kasi nchini…

Soma Zaidi »

Yvonne Chakachaka kutoa elimu ya hakimiliki kwa wasanii

DAR ES SALAAM: Meneja Mradi wa Taasisi ya Utamaduni na Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA), Angela Kilusungu, amesema ujio wa mwanamuziki…

Soma Zaidi »

Ruvuma wazindua Mradi kuboresha elimu msingi

RUVUMA; Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Wakili Mary Makondo, amezindua mradi wa MsingiTek unaolenga kujenga stadi za Kusoma, Kuandika…

Soma Zaidi »

Rais Samia aikabidhi cheti cha shukrani NSSF Tamasha la Kizimkazi

ZANZIBAR; Rais wa  Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan,  Agosti 14, 2026, amemkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi…

Soma Zaidi »

Wafukua kaburi, wadaiwa kuchukua mabaki ya mwili

KATAVI; Familia ya Zacharia Anthony wa Mtaa wa Nsemulwa, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, imekumbwa na sintofahamu baada ya kaburi…

Soma Zaidi »

Serikali kuendelea kujenga mazingira bora kwa walimu

MOROGORO; Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuweka mazingira bora na salama ya kazi kwa walimu wote nchini na  kushirikiana bega…

Soma Zaidi »

RPC ataka udhibiti uendeshaji bodaboda, bajaji

GEITA; KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi (SACP), Safia Jongo amezitaka halmashauri kuandaa mpango wa mapema kudhibiti…

Soma Zaidi »

Walimu wajengewa uwezo teknolojia kufundishia

KILIMANJARO; Walimu 215 kutoka wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro wamepatiwa mafunzo yanayolenga kuongeza uwezo wao wa kutumia teknolojia na…

Soma Zaidi »

Bodaboda Chunya sasa waja kivingine

MBEYA;  Waendesha bodaboda wilaya ya chunya ,mkoani mbeya wameanza kuchukua hatua za kujenga mfumo wa pamoja wa kiuchumi,kwa kuanzisha Mfuko…

Soma Zaidi »

UCSAF kufunga intaneti ya bure vituo vya afya

GEITA; SERIKALI kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imeanza kutekeleza mradi wa huduma ya intaneti ya bure kwenye maeneo…

Soma Zaidi »
Back to top button