Jamii

PICHA| Safari ya mwisho ya bosi wa Tanesco

BUNDA — Mamia ya waombolezaji wamejitokeza leo Aprili 16, 2025, katika mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme…

Soma Zaidi »

UNFPA, Finland watakiwa kuwafikia wengi

DAR-ES-SALAAM : WITO umetolewa kwa Serikali ya Finland na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi (UNFPA) kuendelea…

Soma Zaidi »

Wiki ya AZAKI kufanyika Arusha Juni

DAR-ES-SALAAM : WIKI ya Asasi za Kiraia (AZAKI) kwa mwaka 2025 imepangwa kufanyika mkoani Arusha kuanzia Juni 2 hadi 6.Tukio…

Soma Zaidi »

Kidato cha 4 wapewa mwezi kubadili tahasusi

DODOMA; SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa mwezi kwa wanafunzi waliohitimu kidato…

Soma Zaidi »

Watu 19 mbaroni kwa kuwarubuni vijana kuwa mabilionea

POLISI mkoani Morogoro imekamata watu 19 kutoka kwenye kampuni nne zilizopo mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuwarubuni mamia ya vijana…

Soma Zaidi »

Muuguzi asimamishwa tuhuma za kubadilisha mtoto

WIZARA ya Afya imemsimamisha kazi muuguzi aliyemhudumia mkazi wa Daraja Mbili mkoani Arusha baada ya kuripoti kubadilishiwa mtoto aliyejifungua kwa…

Soma Zaidi »

Watatu wahukumiwa kunyongwa hadi kufa Geita

GEITA; MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala ya Geita imewatia hatiani na kuwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa watatu kati ya wanne…

Soma Zaidi »

Miriam Odemba: Mafanikio sio hadhi bali bidii, utu, nidhamu

DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO maarufu nchini, Miriam Odemba amesema mafanikio pekee hayategemei hadhi, wadhifa au asili ya mtu, bali bidii,…

Soma Zaidi »

Chama cha wanaume chazindua mizinga 130 ya nyuki

DODOMA; CHAMA cha Wazee Wanaume Tanzania Mkoa wa Dodoma (CCWWT) kimeishukuru serikali kwa ufadhili wa mizinga 130 ya thamani ya…

Soma Zaidi »

Mwenge wa Uhuru kuwashwa leo

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango leo anatarajiwa kuwasha Mwenge wa Uhuru Kibaha mkoani Pwani. Dk Mpango anatarajiwa kuwasha Mwenge…

Soma Zaidi »
Back to top button