Jamii

Polisi wanawake Geita waipa tano Magereza Chato

GEITA; MTANDAO wa Polisi Wanawake (PFT-NET) mkoa wa Geita, umeeleza kuridhishwa na kuunga mkono programu ya ustadi, uwezo na maarifa…

Soma Zaidi »

Samia: Tutaendelea kulinda amani

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa. Alisema hayo alipopokea salamu…

Soma Zaidi »

Elimu ya faragha yafikishwa kwa wasioona

TUME ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imeanza mkakati maalum wa kuwafikia watu wenye mahitaji maalum kwa kuwapa elimu ya…

Soma Zaidi »

TGNP yajadili ukombozi wa mwanamke

DAR ES SALAAM: Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kukutanisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa…

Soma Zaidi »

Mamkwe ahimiza ushiriki wa wanawake sekta za maendeleo

Kongwa, Dodoma: Wajiriwa wanawake wanaofanya kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliungana na wenzao kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani katika…

Soma Zaidi »

Wabunge Chato kortini tuhuma za rushwa

GEITA; TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, wabunge wa…

Soma Zaidi »

Bil 5.3/- zawezesha wanawake Moro

MOROGORO: WANAWAKE 8,248 wa Mkoa wa Morogoro wamepata mipoko yenye thamani ya Sh bilioni 5.3 kupitia vikundi vyao kwa ajili…

Soma Zaidi »

RC Shinyanga anogesha siku ya wanawake duniani

SHINYANGA: KIKUNDI cha Mwanamke Chuma wilayani Kahama kimemkabidhi keki mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kwa niaba ya wanawake wote katika…

Soma Zaidi »

Sh bil 1 kuwezesha wanawake kiuchumi Ushetu

SHINYANGA: Vikundi viwili vya wanawake halmashauri za wilaya ya Ushetu na Shinyanga vimekabidhiwa hundi yenye zaidi ya Sh bilioni 1.6…

Soma Zaidi »

Wanawake washauriwa kuzingatia vigezo mikopo

DAR ES SALAAM: WATAALAMU na washauri wa masuala ya fedha kutoka Brac Tanzania Limited wamewataka wanawake kuacha kutanguliza shida binafsi…

Soma Zaidi »
Back to top button