Kimataifa

QATAR kufadhili Jeshi la Lebanon

DOHA : SERIKALI ya Qatar imetangaza mpango wa kutoa ruzuku ya dola milioni sitini kufadhili mishahara ya jeshi la Lebanon…

Soma Zaidi »

Wabunge wa Latvia wajiondoa katika mkataba wa mabomu ya ardhi

LATVIA : WABUNGE nchini Latvia wameamua kuchukua hatua muhimu  ya kupiga kura  ya kuiondoa nchi hiyo kwenye mkataba wa kupiga…

Soma Zaidi »

XI Jinping yuko Cambodia

CAMBODIA : RAIS Xi Jinping wa China amewasili Cambodia ambapo kitakuwa kituo cha mwisho cha ziara yake ya kuyatembelea mataifa…

Soma Zaidi »

Marekani: Vifaa vya simu,elekroniki vyapandishwa ushuru

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump amesema  simu za mikononi  zilizotengenezwa na China na vifaa vingine vya kielektroniki havitaondolewa…

Soma Zaidi »

Katy Perry na wanawake wengine wasafiri angani

MAREKANI : MWANAMUZIKI wa Pop, Katy Perry, pamoja na wanawake watano wamesafiri angani kwenye chombo cha utalii, New Shepard, kinachomilikiwa…

Soma Zaidi »

Ufaransa yajibu kitisho cha Algeria

ALGERIA : SERIKALI ya Ufaransa imetangaza kuwa itajibu hatua yoyote itakayochukuliwa na Algeria ya kuwafukuza wanadiplomasia wake 12, katika mzozo…

Soma Zaidi »

Vitisho vya Marekani havinitishi

CHINA : RAIS wa China, Xi Jinping, ameonya kuhusu hatari za vita vya kibiashara na ushuru na Marekani, akisema kuwa…

Soma Zaidi »

Sudan: Kambi ya wakimbizi Zamzam yashambuliwa

SUDAN : MASHIRIKA ya Kimataifa ya misaada yameelezea kukerwa na shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa kundi la RSF katika kambi…

Soma Zaidi »

Trump apongeza mazungumzo ya nyuklia

WASHINGTON DC : RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa anatarajia kutoa uamuzi kuhusu Iran kwa muda mfupi ujao, baada…

Soma Zaidi »

Gabon : Jen.Brice Oligui ashinda urais

GABON : KIONGOZI wa Kijeshi nchini Gabon, Jenerali  Brice Oligui Nguema, ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais uliofanyika Jumamosi, akipata…

Soma Zaidi »
Back to top button