Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wawekezaji migodini Handeni watakiwa kuzingatia usalama

TANGA; Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, amewataka wawekezaji wa migodi ya madini kuhakikisha wanazingatia kikamilifu kanuni na miongozo…

Soma Zaidi »

Watendaji Tume Madini wahimizwa kuimarisha usalama migodini

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amewataka watendaji wa Tume ya Madini kuimarisha usalama kwenye migodi ya…

Soma Zaidi »

RC Dar azindua mfumo usambazaji gesi ya LPG

DAR ES SALAAM;MFUMO wa kwanza wa usambazaji wa gesi ya LPG kwa wingi katika Soko la Samaki Feri Dar es…

Soma Zaidi »

Wateja wapya Tanesco kukopeshwa majiko

SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liharakishe mchakato wa kuwakopesha wateja wapya majiko ya umeme. Naibu Waziri Mkuu na…

Soma Zaidi »

PURA yaipongeza TPDC gesi asilia katika uchumi

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni, amesema…

Soma Zaidi »

Sangweni: Mfungamano gesi asilia, kilimo utaongeza tija

DODOMA: ENDAPO sekta za gesi asilia na kilimo zitafungamanishwa vema zitaongeza tija katika uchumi kwani zinategemeana. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…

Soma Zaidi »

Kampuni za uingizaji mafuta zaongezeka

DAR ES SALAALM: Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema idadi ya kampuni zinazoshiriki kwenye mchakato wa uagizaji…

Soma Zaidi »

Ewura yasisitiza usahihi uuzaji bidhaa

ARUSHA: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) nchini Tanzania imewataka wafanyabiashara kuendelea kuzingatia sheria ,kanuni na…

Soma Zaidi »

Rais Samia azindua kiwanda cha majaribio uchenjuaji Urani

Rais Samia Suluhu Hassan akizindua Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Urani cha Mantra Tanzania Limited kilichopo katika Wilaya ya Namtumbo…

Soma Zaidi »

Uchimbaji, uchakataji gypsum wachangamsha uchumi Itigi

UCHIMBAJI na uchakataji wa madini ya gypsum katika Wilaya ya Itigi, mkoani Singida, umeendelea kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi…

Soma Zaidi »
Back to top button