Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Stars yawaduwaza Congo Brazzaville

CONGO BRAZZAVILLE: TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imefungana bao 1-1 na Congo Brazzaville katika mchezo wa…

Soma Zaidi »

Makalla akagua uwanja wa AFCON , ujenzi wafikia 60%

ARUSHA: MKUU wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, leo Ijumaa Septemba 5, 2025 ametembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa…

Soma Zaidi »

DC Arusha ataka uadilifu kamati ya michezo wilaya

ARUSHA: MKUU wa Wilaya Arusha Mjini, Joseph Modest Mkude ameisisitiza kamati ya michezo wilaya kufanya kazi kwa uadilifu na bidii…

Soma Zaidi »

Magori Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Simba

MWEKEZAJI na Rais wa Simba ya Dar es Salaam, Mohamed Dewji amemteua Crescentius Magori kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi…

Soma Zaidi »

Ligi ya vijana yashika kasi Arumeru

LIGI ya soka kwa vijana walio na umri chini ya miaka 13 itaeendelea kuchezwa Jumamosi  Septemba 6 katika viwanja vya…

Soma Zaidi »

Uwoya: Mafanikio ni maombi, matendo

MREMBO kutoka kiwanda cha filamu nchini, Irene Uwoya, maarufu kama Mama Mchungaji, ametoa wito kwa Watanzania kuunganisha maombi na matendo…

Soma Zaidi »

Yupo wapi Anjella? hatimaye aibuka!

DAR ES SALAAM: KUMEKUWA na maswali mengi kutoka kwa wadau wa muziki wa Bongo Fleva wakijiuliza yupo wapi msanii Anjella,…

Soma Zaidi »

Komandoo Kalala kuja na kibao kuhamasisha vijana uchaguzi

DAR-ES-SALAAM : KIJIWENI leo tunakutana na mkongwe wa muziki wa dansi, Komandoo Hamza Kalala akiwa kwenye Kituo cha Runinga cha…

Soma Zaidi »

Yammi aburudisha uzinduzi jezi za Simba

DAR ES SALAAM; Msanii Yammi akifanya mambo usiku huu Masaki, jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi rasmi wa jezi…

Soma Zaidi »

King Kiba akiwapa raha Simba

DAR ES SALAAM; Msanii Ali Kiba ‘King Kiba’ akitumbuiza usiku huu Masaki, jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi rasmi…

Soma Zaidi »
Back to top button