Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ibrahim Bacca afungiwa mechi 5

DAR ES SALAM; BEKI wa Yanga ya Dar es Salaam, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amefungiwa michezo mitano ya Ligi Kuu Tanzania…

Soma Zaidi »

Simba wamtambulisha kocha aliyewahenyesha

DAR ES SALAM; KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imemtambulisha Dimitar Pentev raia wa Bulgaria kuwa Meneja Mkuu wa…

Soma Zaidi »

SMZ kuimarisha viwanja vya michezo

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inalenga kuviimarisha viwanja…

Soma Zaidi »

Bodaboda wapongezwa ushiriki afya bonanzi 2025

MANYARA: ‎Shirika la RAFIKI Wildlife Foundation lenye makao yake Wilaya ya Babati mkoani Manyara limesema afya bora huanza kwa kufanya…

Soma Zaidi »

Azam yang’ara Afrika

DAR ES SALAAM; TIMU ya soka ya Azam FC imeng’ara kwa kusonga mbele katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika…

Soma Zaidi »

Simba ilivyosonga mbele mabingwa Afrika

DAR ES SALAAM; SIMBA imesonga mbele katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kutoka sare ya bao…

Soma Zaidi »

Mwelekeo mpya wa habari za michezo nchini

DAR ES SALAAM: Kandanda nchini Tanzania ni ligi tofauti ya kitaaluma, ambayo imekuwa ikishughulikiwa na wanahabari tangu 1930. Watazamaji hawawezi…

Soma Zaidi »

Mgera FC yaweka rekodi, yanyakua mil 10/- Vunjabei Cup

IRINGA: Uwanja wa Shule ya Msingi Mlandege ulilipuka kwa shangwe. Ilikuwa dakika ya 72 tu—dakika inayoweza kuandikwa kwa herufi za…

Soma Zaidi »

Rihanna apata mtoto wa kike

MWANAMUZIKI nyota wa muziki wa Pop duniani, Rihanna, amejaaliwa mtoto wake wa tatu, binti, na mpenzi wake A$AP Rocky, nchini…

Soma Zaidi »

Dodoma Jiji FC yapata mdhamini msimu mpya wa ligi

SHINYANGA: KAMPUNI ya Jambo Food Products (JAMKAYA ) imeeleza kusaidia vijana katika kukuza michezo nchini baada ya kutia saini mkataba…

Soma Zaidi »
Back to top button