Chaguzi

Mpina aenguliwa kugombea urais

DAR-ES-SALAAM : OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetengua uteuzi wa Luhaga Mpina kugombea urais kupitia Chama cha ACT…

Soma Zaidi »

Kampeni za uchaguzi ziwe za kistaarabu

USTAARABU katika kampeni ni jambo muhimu sana ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unaendeshwa kwa kuzingatia heshima, uwazi, usawa, kupinga chuki…

Soma Zaidi »

INEC yaombwa kusimamia haki, usawa, uadilifu

DODOMA : TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeombwa kuhakikisha inatenda haki, usawa na uadilifu katika Uchaguzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Serikali ya ADC kulinda diplomasia ya Tanzania

DODOMA : CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema serikali yake italinda uhusiano wa Tanzania na nchi nyingine. Ilani…

Soma Zaidi »

Vyama, wagombea wapewa masharti kampeni Uchaguzi Mkuu

DODOMA: WAGOMBEA urais, ubunge na udiwani wa vyama 18 vya siasa wanatarajiwa kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu kesho.

Soma Zaidi »

Kabudi ahimiza uzalendo Uchaguzi Mkuu

DAR-ES-SALAAM : SERIKALI imeagiza waandishi wa habari waandike habari za Uchaguzi Mkuu wakizingatia uzalendo badala ya masilahi binafsi. Waziri wa…

Soma Zaidi »

Kisesa wameitika mapokezi ya Nchimbi

SIMIYU: MAMIA ya wananchi wa Kata ya Mwandoya ndani ya Jimbo la Kisesa, wilayani Meatu wamejitokeza kumsikiliza Mgombea Mwenza wa…

Soma Zaidi »

Chaumma kutangaza wagombea ubunge

DAR-ES-SALAAM : CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kutangaza majina ya wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu Agosti 24, mwaka…

Soma Zaidi »

Polisi yataka wanahabari waheshimu mipaka

DAR-ES-SALAAM : JESHI la Polisi limewataka wanahabari watambue na kuheshimu mipaka katika utekelezaji wa majukumu yao wakati wa Uchaguzi Mkuu.

Soma Zaidi »

TCRA yatahadharisha uchochezi habari za uchaguzi

DAR-ES-SALAAM : MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka waandishi wa habari waepuke kuripoti taarifa za uchochezi zinazoweza kuchochea migogoro na…

Soma Zaidi »
Back to top button