Diplomasia

Vijana kupewa nafasi ushirikiano CCM, Frelimo

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo…

Soma Zaidi »

India yatoa Dola bilioni 1.1 miradi ya maendeleo Tanzania

ARUSHA: KATIKA mwaka wa fedha 2026/27 Serikali ya India imepitisha bajeti ya Dola bilioni 1.1 sawa na fedha za Kitanzania…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuweka historia AU 2028

RAIS Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuweka historia mpya barani Afrika kwa kuwa Mwenyekiti wa kwanza mwanamke wa Umoja wa Afrika…

Soma Zaidi »

Picha ya pamoja Wakuu wa Nchi AU

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi Wakuu wa nchi zinazounda Umoja wa Afrika (AU) mara…

Soma Zaidi »

Samia ashiriki mkutano wa Wakuu wa Nchi AU

RAIS Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika (AU) ambao unaongozwa na Kaulimbiu ya…

Soma Zaidi »

Rais Samia azungumza na Waziri Mkuu wa Ethiopia

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa…

Soma Zaidi »

Rais Samia ashiriki mkutano wa Italia, Afrika

Rais Samia Suluhu Hassan, akishiriki katika Mkutano wa Italia na Nchi za Afrika jijini Addis Ababa, Ethiopia. Mkutano huo umewakutanisha…

Soma Zaidi »

Rais Samia awasili Ethiopia

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Bole, jijini Addis Ababa Ethiopia, leo Februari 12, 2026…

Soma Zaidi »

Rais Samia kushiriki mkutano wa 39 wa AU

Rais Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali na kuondoka Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) jijini…

Soma Zaidi »

Tanzania yashiriki mkutano Baraza la Mawaziri Afrika

Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, Ethiopia Februari 11-12, 2026. Ujumbe wa…

Soma Zaidi »
Back to top button