Siasa

Dk. Migiro: Tumewasha moto

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro amesema chama hicho kimewasha moto wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Soma Zaidi »

Dk.Migiro: Mwanamke Anayeandika Historia Kwenye Medani za Siasa na Diplomasia

KATIKA medani ya siasa, diplomasia na utawala wa Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania, jina la Dk Asha-Rose…

Soma Zaidi »

Mgombea anapoahidi kuwashushia wapigakura senene!

SIKU zinahesabika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Kampeni zimeshaanza kama inavyooneshwa katika…

Soma Zaidi »

CCK kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele amesema chama chake kitaunda serikali ya umoja wa kitaifa kama kitapata…

Soma Zaidi »

Uzalendo utawale wakati wa kuripoti Uchaguzi Mkuu

AMANI, utulivu, umoja na mshikamano ni vitu muhimu ambavyo nchi ya Tanzania imebarikiwa na vinaliliwa na kutafutwa na mataifa mengine.

Soma Zaidi »

Bahemu mgombea ubunge CCM Ngara

BUKOBA : MGOMBEA Ubunge Ngara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dotto Bahemu ameibuka kuwa mgombea pekee katika Jimbo la Ngara…

Soma Zaidi »

Ahadi za kampeni ziwe za kutekelezeka

KIJIWENI leo tupo na wananchi wa Mkoa wa Morogoro wakizunguza kuhusu kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 zilizoanza tangu Agosti 29,…

Soma Zaidi »

Wagombea Ubunge 49 wapitishwa na INEC Temeke

DAR-ES-SALAAM : WAGOMBEA wa ubunge 49 wamepitishwa kugombea nafasi hiyo katika majimbo matatu yaliyopo wilayani Temeke, Dar es Salaam baada…

Soma Zaidi »

Aliyemshitaki Mpina agoma kung’oka ACT

ALIYEDAIWA kufutwa uwanachama katika Chama cha ACT Wazalendo, Monalisa Ndala amekataa tamko la chama chake kumvua uwanachama, akidai yeye bado…

Soma Zaidi »

Wagombea Morogoro washukuru kwa maendeleo majimboni

MOROGORO: WAGOMBEA Ubunge wa Majimbo ya Kilosa, Mvomero na Mikumi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameelezea mafanikio ya Serikali ya…

Soma Zaidi »
Back to top button