Siasa

Mwanasheria autaka ubunge Muleba Kaskazini

MULEBA: KIONGOZI mwandamizi Chama cha Wanasheria (TLS) Mkoa wa Arusha, Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea ubunge Muleba…

Soma Zaidi »

Anastazia atangaza nia Viti Maalum Udiwani Mbweni

DAR ES SALAAM: Anastazia Dinho, mkazi wa Malindi Estate, kata ya Mbweni, ametangaza nia ya kugombea udiwani wa viti maalum…

Soma Zaidi »

Lowassa kutetea ubunge Monduli

ARUSHA: Kinyang’anyiro cha udiwani na ubunge kwa Mkoa wa Arusha kimeanza ambapo Mbunge wa Jimbo la Monduli, Fredy Lowassa amechukua…

Soma Zaidi »

Makongo achukua fomu ubunge Chato Kaskazini

CHATO: Mwandishi wa habari mwandamizi wa habari za uchunguzi aliyejikita kutetea haki za binadamu, Cosmas Makongo amechukuwa fomu ya kuwania…

Soma Zaidi »

Kiswaga achukua fomu ya kuomba ridhaa ubunge Kalenga

IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania tena ubunge wa jimbo…

Soma Zaidi »

Msigwa autaka tena ubunge Iringa Mjini

IRINGA: ALIYEKUWA Mbunge wa Iringa Mjini kwa miaka 10, Mchungaji Peter Msigwa, amechukua fomu kuwania ubunge Iringa Mjini—safari hii akitokea…

Soma Zaidi »

Ngajilo aingia tena uwanja wa Iringa Mjini

IRINGA: Fadhili Fabian Ngajilo, mwanasiasa mwenye rekodi ya utumishi wa muda mrefu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo amechukua…

Soma Zaidi »

Kikoti ajitosa tena ubunge Kilolo

IRINGA: Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa kutoka Wilaya ya Kilolo, Brian Kikoti, leo amechukua rasmi fomu ya kuwania…

Soma Zaidi »

Bunge kuvunjwa rasmi Agosti 3

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa Bunge la 12 litavunjwa rasmi Agosti 03, kufuatia kukamilika kwa kipindi chake…

Soma Zaidi »

ATCL kuongeza safari, kujiendesha kwa tija

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) litapanua wigo wa safari zake za kimataifa…

Soma Zaidi »
Back to top button