Siasa

Salome arudisha fomu ubunge Viti Maalum

SHINYANGA: ALIYEKUWA Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Salome Makamba, amerudisha fomu ya kugombea nafasi…

Soma Zaidi »

Nassari achukua fomu ubunge Arumeru Mashariki

MWANZA: ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Joshua Nassari ni miongoni mwa wanachama 28 waliochukua fomu kuwania ubunge…

Soma Zaidi »

Lukumay ajitosa ubunge Arumeru Magharibi

MWENYEKITI wa Chama Cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), mfanyabiashara maarufu, na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Elias Lukumay,…

Soma Zaidi »

Mlawa aanza safari ya ubunge Kilolo

IRINGA: Mdau wa maendeleo Aidan Damian Mlawa amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania…

Soma Zaidi »

Salome Makamba atwaa fomu ubunge uwakilishi wanawake

SHINYANGA: Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga, Salome Makamba amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia Chama…

Soma Zaidi »

Gambo arudi tena, atwaa fomu ubunge Arusha Mjini

ARUSHA: IKIWA leo ni siku ya pili ya zoezi la uchukuaji wa fomu za kuwania ubunge na udiwani, aliyekuwa Mbunge…

Soma Zaidi »

Festo Kiswaga ajitosa ubunge Isimani

IRINGA: ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Festo Kiswaga, leo Juni 29, 2025, amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya…

Soma Zaidi »

Wakili aliyemtetea mjane nyama ya swala ajitosa ubunge Iringa Mjini

IRINGA: WAKILI wa kujitegemea na kada mwandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Moses Gwatengile Ambindwile, leo amechukua rasmi fomu ya…

Soma Zaidi »

Kada CCM atwaa fomu ya udiwani Osunyai

ARUSHA: Katika kuhakikisha vijana nao hawapo nyuma katika uongozi, hatimaye kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Osunyai,…

Soma Zaidi »

Nyalusi autaka tena ubunge viti maalum Iringa

IRINGA: MBUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa anayemaliza muda wake, Nancy Nyalusi, amechukua rasmi…

Soma Zaidi »
Back to top button