Siasa

Mjumbe CCM: Tunaenda kugombea sio kugombana

ARUSHA: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Taifa (CCM), Namelock Sokoine amesema kuelekea uchaguzi mkuu watu wanapaswa kufahamu  wanaenda…

Soma Zaidi »

Balozi Matinyi awasilisha hati za utambulisho kwa Mfalme Gustaf

BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI Gustaf, katika hafla maalum iliyofanyika…

Soma Zaidi »

Tanzania yamtunuku heshima Rais wa AfDB

TANZANIA imetambua mchango wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dk Akinwumi Adesina katika maendeleo nchini na kumtunuku…

Soma Zaidi »

Tanzania, Rwanda zasaini hati makubaliano uimarishaji mpaka wa kimataifa

Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya Uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo. Makubaliano hayo…

Soma Zaidi »

Kaukau kutozwa ushuru

DODOMA; SERIKALI inakusudia kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Shilingi 50 kwa kilo ya crisps (kaukau)  zinazozalishwa nchini, na…

Soma Zaidi »

Ushuru vinywaji vya kuongeza nguvu  kupunguzwa

DODOMA; SERIKALI inakusudia kupunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinavyozalishwa ndani ya nchi…

Soma Zaidi »

Uchaguzi Mkuu kugharamiwa na fedha za ndani

DODOMA; SERIKALI imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025 utagharamiwa kwa fedha za ndani. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »

Sh tril.40 bajeti kugharamiwa na mapato ya ndani

DODOMA; BAJETI ya serikali ya mwaka wa fedha 2025/26 inatarajiwa kugharamiwa na mapato ya ndani ya shilingi trilioni 40.47. Kauli…

Soma Zaidi »

Sanaa, burudani zaongoza kwa ukuaji

DODOMA; SEKTA ya sanaa na burudani ni miongoni mwa sekta tano zilizoongoza kwa ukuaji mwaka 2024. Kauli hiyo imetolewa na…

Soma Zaidi »

Mfumuko wa bei wapungua

DODOMA; Mfumuko wa bei nchini ulipungua na kufikia asilimia 3.1 mwaka 2024 ikilinganishwa na asilimia 3.8 mwaka 2023, Bunge limeelezwa.…

Soma Zaidi »
Back to top button