Dodoma

Dar inatisha!

DODOMA: DAR ES SALAAM ni Jiji kubwa, la kibiashara na mboni ya taifa, hekaheka zake ni kama sherehe za Krismasi…

Soma Zaidi »

Udumavu bado tishio nchini – Dk Dugange

DODOMA: NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Dk Festo…

Soma Zaidi »

Ushoga, ukatili wa kijinsia jela miaka 30

DODOMA: WAKATI wimbi kubwa la vitendo vya ukatili wa kijinsia na ushoga vikiwa vimeshamiri, serikali imetoa msimamo wake kuwa atakayebainika…

Soma Zaidi »

‘Waathirika Kimbunga Hidaya kupewa huduma za dharura’

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Haki Jinai, suluhu kwa Watanzania

DODOMA: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa nchini waakisi utashi wa kisiasa wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

TANESCO yakemea upotoshaji kuhusisha mafuriko Pwani na JNHPP

DODOMA: SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limefafanua kuwa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) limechangia kwa…

Soma Zaidi »

Apongezwa kuvuna ‘Cha Arusha’

MLIMWA, Dodoma: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya namna inavyodhibiti biashara ya…

Soma Zaidi »

Majaliwa aagiza nguvu zaidi Rufiji

MLIMWA, Dodoma: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Timu ya Mawaziri itakwenda Wilaya za Rufiji na Kibiti mkoani Pwani kuungana…

Soma Zaidi »

Ujenzi Barabara Sanzate-Nata wafikia asilimia 45

DODOMA; WIZARA ya Ujenzi imesema inaendelea na ujenzi wa barabara ya Sanzate – Nata iliyopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara…

Soma Zaidi »

Serikali yazungumzia kituo cha afya Shitage

SERIKALI imesema inatambua umuhimu wa kuwa na kituo cha afya katika Kata ya Shitage wilayani Uyui, ambapo katika mwaka wa…

Soma Zaidi »
Back to top button