Zanzibar

Rais Mwinyi akaribisha uwekezaji wa kimataifa

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuwakaribisha wawekezaji…

Soma Zaidi »

Hemed ataka nguvu kupambana VVU

MAKAMU wa Pili wa Rais- Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amezitaka taasisi, wadau na wananchi kushirikiana katika kuongeza ubunifu wa upatikanaji…

Soma Zaidi »

IPA washauriwa kuongeza mafunzo kwa viongozi

KATIBU Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Mhandisi Zena Ahmed Said, amelitaka Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi aongoza mazishi ya Ali Ameir

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza Viongozi na Wananchi katika mazishi ya Mwanasiasa…

Soma Zaidi »

SMZ yajipanga kuzuia usafirishaji wa binadamu

TAASISI zinazohusika na kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu zimetakiwa kuongeza ubunifu na kutumia mbinu za kisasa kubaini…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi akemea vikao hoteli za kitalii

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameagiza makatibu wakuu wa wizara waache kuidhinisha vikao vifanyike katika hoteli za kitalii. Dk…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi aongoza kikao kazi cha viongozi wa serikali

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza Kikao Kazi kilichowajumuisha Mawaziri,…

Soma Zaidi »

Amani ya nchi yatakiwa kuendelezwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Waumini wa Dini ya Kiislamu…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi awateua makatibu wakuu

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi  amefanya uteuzi wa makatibu wakuu…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi akagua ujenzi ‘Sports City’ Fumba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button